Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 275
- 841
Utaoa shabuNa baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra
Ndo kwanza moto umeanza kufuka moshi.....π€Wanawake tunzeni Bikra zenu, hatuoi asiye na bikra
Hii kesi hutashinda maana huna ushahidi, hujarekodi maneno yake na anaweza akakukana mahakamani.Habari za zenu wana MMU,
Leo asubuhi nilileta bandiko, kwa mke wangu alinidanganya yeye ni bikra, lakini baada ya ndoa nilikuta hana bikra ni shimo lenye dilatation ya 4cm yani kama ni mjamzito aliyeko kwenye labor unafungua partograph kabisa!
Nimeamua jumatatu ya wiki ijayo naende kumfungulia mashtaka ya ulaghai na udanganyifu! Pia nataka nilipwe fidia ya gharama zote nilizotumia kwake.
Na baada ya hapo nampa talaka, wanawake ni wengi waliohifadhi bikra zao. Ni lazima nioe bikra!
Ila huyo mwanamke angesema ukweli wengine hawanaga utaniAkili kidogo ulizonazo zitakutosha kuishi na mwanamke kweli??!!
To yeyeTo yeye, wewe unayo nije tuongee
Hakuna mwanaume asiyeweza kuishi na mke, labda awe upindeAkili kidogo ulizonazo zitakutosha kuishi na mwanamke kweli??!!
Pipa lilikutana na mfuniko. Mtoa mada na huyo mwanamke akili zao kama zinafanana hiviIla huyo mwanamke angesema ukweli wengine hawanaga utani
Nina wasi wasi hata bk ya nyuma hanaSafi sn
Aliemtoa Bk ndy chalii ake
Unaonaje mwanamke hana bikra, si nikununua shamba lenye mgogoro !Kwani Hiyo Bikra unashida nayo ya nini?? πππ..