Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
ndoa bila mapenzi si ndoa.
Ndio maana nataka vidume vya JF wanipe ideas how to make it better or do it rightly...
Kama atakuwa anahitaji mnyanyua vyuma, naomba a-reserve hiyo nafasi kwa ajili ya POWER GMadamX hujatuambia michango tuanze lini? sisi ambao hatukuombwa busara zetu
Ni Mwanamme kabila Gani? (Mhaya au Mpemba?)
Kwa ana kazi gani ya kipato? (Mbunge, Mwanamziki au Mnyanyua vyuma?
atakuwa ameoa au bado (anao wake wangapi kutokana na Dini yenu au yake)
Kuchangia sherehe (ni kwa shilingi au tuhudhurie)
Hongera Bint wa Jamii Forum
wee virgin utaweza?
mwaya, wee ndo kocha panga mchezaji na format unayotaka kama ni 4-4-2 au 4-3-3 hata ukiamua kuja na 0-0-10.
Mradi angalau umemaximize furaha yako.
Ndio nimeamua kuolewa at last but at my own conditions. Kwa kweli nimechoshwa na masharobaro wa hapa mjini, yaani uwizi mtupu, usanii and too many heart breaks, I have to come to conclusion love is not meant for me.
Niko katika mchakato lakini nataka hii ndoa iwe purely of benefits more or less marriage of convenience. Sitaki kuolewa kwa love cause it doesnt and never worked with me, sitaki kuwa nyumba ndogo, sitaki kuzaa na mume wa mtu, sitaki kuzaa nje ya ndoa, sitaki kulea mume, sitaki kuruka ruka kila siku.
Ninachotaka ni kukidhi matamanio ya mwili, kuendeleza kizazi (tukijaliwa), awe responsible dad to his kids kwasababu sitaki niwe single parent at same wakose mapenzi ya baba yao. Tutasaidiana maisha half half hasa yanayohusu watoto wetu. LOL
Now the challenging part, nataka mawazo yenu, nini nifanye ili hii marriage ionekana attractive kwa mume mtarajiwa. Naomba brainstorming zenu kabla sijaweka bandiko. Maana its like contract and going to be renewable see if we fit, au precaution gani nichukue......
Mtambuzi , Kongosho , Kaunga , The Boss , ndyoko , Preta , Eiyer , King'asti , na Nyani Ngabu na wengineo wote naombeni busara zenu.
jamani ningependa itobolewe na yeye!
Mapenzi ni nini? maana nikiangalia mapenzi ya siku hizi kuna watu wengi hasa mjini wanaangalia kwanza kazi then baadae ndio taratibu taratibu mtu anaingia kwenye serious relationship, KAMA NDOA BILA MAPENZI SI NDOA nadhani watu wangekuwa wakikutana tu haichukui miezi 3 wanaoana lakini kwa kuwa mwanzo watu wana-test ndio utasikia watu wanakaa miaka kadhaa ndio wanaoa/kuolewa wengine wanaishiwa kutendwa. madamX hajasema anataka kuolewa na mtu ambae hampendi ila ametaja vigezo vya mwanaume ambae anadhani akiwa nae nafsi yake itakuwa safi.
Ndugu nisome vizuri hapo juu. Ushauri wa wengineo pia unahitajika ikiwa jina lako halipo. Angalia chini nimejibu in bold.
Ni Mwanamme kabila Gani? (Mhaya au Mpemba?) - Hapa sina ubaguzi
Kwa ana kazi gani ya kipato? (Mbunge, Mwanamziki au Mnyanyua vyuma? - Sitaki msanii, good IQ important.
atakuwa ameoa au bado (anao wake wangapi kutokana na Dini yenu au yake) - Sitaki mme wa mtu, kuhusu dini tutapatana baadae
Kuchangia sherehe (ni kwa shilingi au tuhudhurie) Mmh sherehe sio muhimu kuzungumza kwa sasa
Ndio maana nataka vidume vya JF wanipe ideas how to make it better or do it rightly...
Magorofa!!??....Tembea uone au kuwa uyaone...
Nijuze vilivyo