Nimeamua kustaafu kunywa pombe

Itapendeza kama umeamua kuacha pombe kwa hiari,ila hujaeleza nini kimekupata mpaka umefikia uamuzi huu!Na faida ya kuacha ni nini?
 
Bia ina raha yake bana ,hapa napata burudani safi huku nikisafisha macho
 
Nafanya kazi hela ninazo.Pia wazazi wangu hawataki,mke nae amekua kero nikinywa
 
Nilijifunza kunywa mwenyewe 2009 na nimeamua kuacha mwenyewe 2020.Kila la heri wanywaji.
Njia nzuri sana ya kubana matumizi jombaa, maana mpaka ifikapo 2025 hakuna jiwe moja ambalo litakuwa limesimama, yote yatakuwa yamepinduliwa. Hapo ni mpaka atakapotokea mrithi mwingine wa mamlaka iliyo kuu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani pombe imekukosea nini mpaka uiache?
 
Haijanikosea,kuna mda unafika tu.
 
Nina wiki 2 sjagusa na ctak
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…