Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia nzuri sana ya kubana matumizi jombaa, maana mpaka ifikapo 2025 hakuna jiwe moja ambalo litakuwa limesimama, yote yatakuwa yamepinduliwa. Hapo ni mpaka atakapotokea mrithi mwingine wa mamlaka iliyo kuu [emoji23][emoji23][emoji23]Nilijifunza kunywa mwenyewe 2009 na nimeamua kuacha mwenyewe 2020.Kila la heri wanywaji.
Wewe nawe😁😁😁!Hongera sana, nunua hata bia 3 ujipongeze kwa hayo maamuzi
Hata Mungu pia hatiki unywe ,hongera kwa kutii na kuamua.Nafanya kazi hela ninazo.Pia wazazi wangu hawataki,mke nae amekua kero nikinywa