Nimeamua kuunga mkono Juhudi za Serikali ya CCM katika kuwaletea watanzania maendeleo

Nimeamua kuunga mkono Juhudi za Serikali ya CCM katika kuwaletea watanzania maendeleo

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Wakuu baada ya kujitafakari kwa kina kwa kipindi kirefu Mimi Wakusoma 12 kwa kushawishiwa na vipaumbele vya awamu ya SITA na kwa namna maendeleo hasa kwenye sekta za elemu na afya nimeamua kujiunga na chama Cha mapinduzi. Sababu zilizonifanya Mimi ambaye nilikuwa radical kwenye maswala ya kisiasa hasa siasa za upinzani ni hizi hapa:

1. Uimarishwaji wa sekta ya kilimo pamoja na kuipromoti sekta hiyo muhimu katika kuleta maendeleo kwa wananchi.
2. Uimarishwaji wa sekta za elimu na afya kwa kuwepo kwa madarasa na vitu vya afya nchi nzima.
3. Upatikanaji wa miundombinu ya barabara, relief pamoja na upatikanaji wa maji kwa watanzania waishio vijijini jambo ambalo miaka ya nyuma lilikuwa ni ndoto.
4. Upatikanaji wa umeme wa uhakika hii ni baada ya awamu hii ya SITA kukamilisha kwa asilimia kubwa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere.
Kwa uchache tu hayo ndiyo yamenisukuma kukubaliana na awamu hii ya SITA.
 
Chama kinachowajibika ni kile ambacho kiongozi wake ndo kashika madaraka ya kuongoza nchi

Hivyo basi hata TLP ikiwa na kiongozi anayeongoza nchi (Rais) kinaweza kufanya hayo

Maana zinazotumika ni kodi zetu
 
Wakuu baada ya kujitafakari kwa kina kwa kipindi kirefu Mimi Wakusoma 12 kwa kushawishiwa na vipaumbele vya awamu ya SITA na kwa namna maendeleo hasa kwenye sekta za elemu na afya nimeamua kujiunga na chama Cha mapinduzi. Sababu zilizonifanya Mimi ambaye nilikuwa radical kwenye maswala ya kisiasa hasa siasa za upinzani ni hizi hapa:

1. Uimarishwaji wa sekta ya kilimo pamoja na kuipromoti sekta hiyo muhimu katika kuleta maendeleo kwa wananchi.
2. Uimarishwaji wa sekta za elimu na afya kwa kuwepo kwa madarasa na vitu vya afya nchi nzima.
3. Upatikanaji wa miundombinu ya barabara, relief pamoja na upatikanaji wa maji kwa watanzania waishio vijijini jambo ambalo miaka ya nyuma lilikuwa ni ndoto.
4. Upatikanaji wa umeme wa uhakika hii ni baada ya awamu hii ya SITA kukamilisha kwa asilimia kubwa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere.
Kwa uchache tu hayo ndiyo yamenisukuma kukubaliana na awamu hii ya SITA.
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Back
Top Bottom