Nimeamua kuweka wazi

chama. Maneno ya kujifariji hayo.
Mzee
Huo ni ndio ukweli wenyewe naona umebeba mpapai wajinadi utachoma mkaa! sijui umepata mashwahiba gani? utapoteza nguvu zako bure mpapai haufai kwa kuni wala kujengea hasara tupu!
 
Last edited by a moderator:
Nimeskitishwa!
Unasumbuliwa hata na
"Kauza-matoke?" hako si ni kakupiga pipe ya kichwa tu! Na hivi kalevi , wala hutosumbuka

Nakusikiliza tu........for your sad information nimefukunyua mpaka contact za YNNAH nimezipata.....subiria kilio!
 
Last edited by a moderator:
Hapana Mamndenyi, nipo kwenye meza ya usuluhishi tu... afu nimehakikisha mambo yote yanaishia kwenye meza ya usuluhishi.


Mungi. Nakuona huku. Huyo mwanamama ni mzoefu ktk kutoa rushwa za aina yote.

Kuwa makini mwenyekiti.
 
Last edited by a moderator:
Mzee
Huo ni ndio ukweli wenyewe naona umebeba mpapai wajinadi utachoma mkaa! sijui umepata mashwahiba gani? utapoteza nguvu zako bure mpapai haufai kwa kuni wala kujengea hasara tupu!


chama. Kwanza huu ugomvi haukuhusu.
 
Last edited by a moderator:
si lolote si chochote kelele nyingi tu! golo mwenyewe amelala hata kwa handeli haamki!! ataishia kumaliza dawa za wamasai tu!


chama. Kama haiamki ilikuaje mkeo akaahirisha gemu.

Mwambie aje. Atakuhadithia.
 
Last edited by a moderator:

afu Arushaone kashaniboa
adhabu yake imerudi palepale
kifanyio usoni,wewe nishakusamehe!!
undugulization naweka pembeni!!


Hureeeee.

Kwisha habari yenu. Niliwambia mtanyoosha mikono juu.

Haya pokea jalada. Anza kazi mara moja.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…