Huyu Mzee inaelekea ana ugwadu wa miaka mitatu aisee LOL.
Nimeskitishwa!
Unasumbuliwa hata na
"Kauza-matoke?" hako si ni kakupiga pipe ya kichwa tu! Na hivi kalevi , wala hutosumbuka
Mzee naomba uione hii.......kudandia wake za watu uwache..........
​hahahaaaa!! mzee atajijulazima aliwe na kunguru huyu