Nimeamua kuweka wazi

chama. Kama haiamki ilikuaje mkeo akaahirisha gemu.

Mwambie aje. Atakuhadithia.


wewe si mngoma huishi sababu unajulikana mtaani; umekimbiwa na wake kwasababu ya jongoo lina baridi yabisi; yawaje mtoto wa kiume balekhe kama wewe hata mimba ya kusingiziwa huna????
 
wewe si mngoma huishi sababu unajulikana mtaani; umekimbiwa na wake kwasababu ya jongoo lina baridi yabisi; yawaje mtoto wa kiume balekhe kama wewe hata mimba ya kusingiziwa huna????


chama. Punguza ukali wa maneno aiseee.

Nitakuotesha mshipa alaaa.
 
Last edited by a moderator:

Mzee mbona umesahau waangalizi wa hii kesi...ila hiyo ya kuweka vifanyio usoni na kuwa kwenye mp mfululizo nimeipenda sana vyupi vitavaliwa usoni, loh!
 
Last edited by a moderator:
Mzee mbona umesahau waangalizi wa hii kesi...ila hiyo ya kuweka vifanyio usoni na kuwa kwenye mp mfululizo nimeipenda sana vyupi vitavaliwa usoni, loh!

bysange.
Hii imeshawahi kumtokea Bishanga. Alifumaniwa.
 
Last edited by a moderator:
chama. Punguza ukali wa maneno aiseee.

Nitakuotesha mshipa alaaa.
Mzee
Acha kunyemelea vya watu; usione vinameremeta Mamndenyi haogi maji ya tope ya Ruvu chini hapo tumewekeza na tunaendelea kuwekeza! Babu yangu ndio mganga wa kutoa mishipa Pangani sema jingine!
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi
Kuna watu wanapenda kujifariji mzee anajua wazi hakuwezi na hakumudu sijui hizi akili za kufurahisha baraza ataziacha lini!


Mwambie afungue mlango niingie aone moto wake.

Ila pesa zangu ataridisha tu. Lazima malengo yatimie.
 
Last edited by a moderator:
Mwambie afungue mlango niingie aone moto wake.

Ila pesa zangu ataridisha tu. Lazima malengo yatimie.

Vitisho vya kobe kumtisha nyau hivyo! jongwe amelala usingizi fofo utamaliza makombe na waganga hamna kitu hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…