Nimeamua kuweka wazi

Umemwambia yakimkuta ndo hivyo tena. mi namwitia mwanasiasa wangu aone moto wake.
Mamndenyi.

Kwa ufupi tu.

Nimeagiza Tindikali Lita 20. Nimetafuta vijana 30.

Subiria moto wake.
 
Last edited by a moderator:
Hapa vya siasa havipo!
Hapa mkolezo ni wewe kumanga mavumba ya wenyewe, afu wewe umeibania! Imangwe!
Si umangweke mzee akushushie lisredi la shukrani?


Judgement. Hebu muulize kuwa wakati namtumia vocha mbona hamkutaja mwanasiasa???...

Wakati namtumia Mpesa mbona hakumtaja mwanasiasa????"!!.

Wakati tunaenda kupata chakula Holiday Inn mbona hakumtaja mwanasiasa???

Kwenye kutoa UTAMU unaleta poyoyoyo za mwanasiasa.
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi
Achana naye huyo tayari amenusa yale mavumbi sio akili zake hizo!


chama. Nikidai changu naambiwa nimenusa mavumbi.

Wakati mkeo anapokea vitu vyangu nilikuwa sijavuta hayoavumbi?!!.

Endeleza tu kashfa.
 
Last edited by a moderator:
Wa ZEE wa siku hizi bwana..usiyepumzika ukaangalia uzee wako utaishaje, unaangaika na vijana?

Hivi nyumba ndogo ulishaachaga?


KOKUTONA. Nakula, nashiba. Unafikiri hizi nguvu nitazipinguzia wapi?!.

Haya mambo hayana uzee wala ujana. Swala ni uwezo tu.

Kwa maelezo zaidi mcheki Zahra White.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…