KOKUTONA. Nakula, nashiba. Unafikiri hizi nguvu nitazipinguzia wapi?!.
Haya mambo hayana uzee wala ujana. Swala ni uwezo tu.
Kwa maelezo zaidi mcheki Zahra White.
Mzee Nisamehe bure.......maana naweza kuhamishiwa mdomo kwenye kwapa kwa kuchakachua tu sirediHeaven on earth. Umeshaanza kuchakachua huu uzi tena..
Utafia six by six shaurilo.
Wasichana watakuzunguusha uzunguuke mwisho ukose punzi buree
Haya mambo unadhanii ni uwezo/nguvu peke yake?
Uliza vizuri uambiwe
alishasema kuwa amekubali kuubeba na umtoe Arushaone kwenye list...... Sawa?????
KOKUTONA. Kuishi kwingi kuona mengi.
Nimekuambia kwa ushahidi muulize Zahra White anafahamu ngoma ya wazee ilivyo.
Mzee Nisamehe bure.......maana naweza kuhamishiwa mdomo kwenye kwapa kwa kuchakachua tu siredi
Passion Lady. Kama unataka nimtoe nipe kwanza nani hii......
wii jamani mapenzi yataniua mwenzio nampenda sana Arushaone kuliko kitu chochote duniani, ndio maana nimemtoa kimbora pacha angu ili mume wangu asihadhibiwe
Lady doctor. Kuhusu kumtoa Arushaone kuna masharti tumewekeana na Passion Lady. Akiyatimiza tu. Namtoa.
Heaven on earth na wewe lala huko. Hayakuhusu.
ina mana naweza kuhamishiwa sehem mbaya zaidi.........
hebu nichunge hili vuvuzela langu hum ndani full vitisho
mwe mapenzi haya na mi naomba upendo wangu kwa kaka ako figganigga uwe kama huu wako.....
Arushaone ana raha aisee...