Nimeamua kwenda Israel kujiunga na IDF kulipiza vifo vya Joshua na Clemence

Hiyo video iko wapi mkuu?
 
Hana passport? Sasa huko kwa Wazungu kafikaje?
 
Israel video za ndugu zao waliouawa huko kinyama nyingi wamezificha ila za Watanzania ndio wamezisambaza Dunia ijue pana vitu vya kuangalia hapo sio bure na wanawezaje kusambaza Video ya kikatili wakati za kwao wamewaomba Goggle wapige ban zisionekane kwenye Android...
 
Video za wa-israel wakiuawa hujaziona ?
 
Unadhani vita ni rahisi kama kuchamba mavi ya vibibi ,jaribu uone uatavyo pakatwa mchana kweupe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Acha vituko basi
 
Una mihemko, sio😎 kijana wetu movie zinakudanganya.
 
Kuna tetesi IDF wanaupungufu wa CHAMBO. Utakuwa msaada mkubwa.
 
Hii vita Mungu anaitambua? [emoji23]
 
Nauli ya kwenda huko tayari unayo? Kama huna, weka namba yako ya simu au akaunti namba ili tukuchangie faster
 
Ni watu wenye akili pekee ndiyo wataelewa hiki ulichokiandika hapa.
 
Ukute hapo buza saa hizi hata cha jioni hujala vile shemeji hajarudi na aliahidi atakuja na mboga toka kibaruani, upo unatazamana na dada tu kibarazani kumsubiri shem
Mara shemeji yake anarudi akitavuna karanga bas yeye roho juujuu
 
Bange mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…