Nimeamua niache kazi nikajiajiri

Acha kujitafutia shida. Huki sio kipindi kizuri cha kujiajiri. Utakuja kupata magonjwa ya moyo bure. Sasa kama elimu yako mbuzi kwa nini usitumwe tumwe? Kama hupendi kutumwa kaongeze elimu...
 
Acha kujitafutia shida. Huki sio kipindi kizuri cha kujiajiri. Utakuja kupata magonjwa ya moyo bure. Sasa kama elimu yako mbuzi kwa nini usitumwe tumwe? Kama hupendi kutumwa kaongeze elimu...
Sawa mkuu
 
Unatoka kwenye utumwa unaingia kwenye kujituma mwenyewe.....ili uyaone mafanikio unatakiwa ujitume kuliko hata ulivyokuwa ukitumwa mwanzo..........

Mimi huwa namheshimu mtu anayeuza karanga zake barabarani kuliko hata mkurugenzi wa ofisini.....
point mkuu umesema yaani ni afadhali ujishughulishe kwa kile ambacho unakifanya wewe kuliko kutumikia maofisi ya wenzako unawatajirisha wao wewe unabaki maskini yaani huyu kaamua vyema sana
 
mimi kinachonikera ni kazi nyingi mshahara sion nimefungwa hata mambo yangu ya kifamilia sifanyi yani sifanyi chochote
cha kufanya amua kama alivyoamua mwenzako ni bora utaabike kwa kipindi kifupi cha mwanzo kuliko kuwa sehemu yenye utumwa huku hujui ufanyaje
 
saf..mkuu nadhan km unekuwa msim mzur wa hal ya hewa mkuu ungeenda tu bush ujichimbie ekga ekga ya mahind yko kwa laki tano upateyako inatosha na ukivuna una una km 1.5m had 8..kwa mawazo yng kwako.. n.cz ht mimi ndo nimetokea huko kimtindo jpo bdo cjafika napotaka ila jpo cjafika.ila ndio nipo njian ktk mafanikio.

kilimo kinalipa.sana mkuu hasa nafaka.
 
 
Wewe unaonekana ni mbinafsi na unakibuli hata ukianza biashala utachemka tu kwa biashara inaitaji uchesh na ukalimu ndipo utatushika Wateja sasa na nyodo zako hizo utafanya biashara gani?
 
Kumbe tupo wengi mi mara ya kwanza mi nikizani ni mjinga
 
Jamani niliacha toka juni 2015 nimeamua niliamua kufanya biashara lakini familia yangu na jamii nzima kijjin kwtu walinizarau na kuisi nimerogwa na kaka yangu !! adi baba yangu mzazi alisema nimemshusha hazi kabsa lakini leo nimefanyia mazur hadi ame surrender yule mzèee ata majiran heshima ina fika na wengine wamekasirika palifikia na maamuzi ya kurud kazin ili yule mzee alizike
 
Unatoka kwenye utumwa unaingia kwenye kujituma mwenyewe.....ili uyaone mafanikio unatakiwa ujitume kuliko hata ulivyokuwa ukitumwa mwanzo..........

Mimi huwa namheshimu mtu anayeuza karanga zake barabarani kuliko hata mkurugenzi wa ofisini.....
Mkuu usante kwa ushauri ulioshiba
 
Ulikuwa umeajiriwa.alaf una akiba ya laki tano.?ndo unataka kufanya biashara.bora ungeendelea na utumwa.kweli wewe masikini jeuri.
 
Ulikuwa umeajiriwa.alaf una akiba ya laki tano.?ndo unataka kufanya biashara.bora ungeendelea na utumwa.kweli wewe masikini jeuri.

Umasikini mkubwa kuliko wote ni umaskini wa akili na fikra........

Mwanadamu anaanza kufa akili ndio unafuata mwili.....

Kichwa ni maktaba na hekalu la fikra mbali mbali........

Mtu mwenye kuitumia akili yake vyema....anakuwa na mawazo mazuri na yenye tija......

Mtu wa hivyo.....hata ukimpa shilingi elfu kumi....baada ya muda anaweza kuifanya kuwa laki moja........

Lakini mtu asiye na fikra na mawazo yakinifu hata ukimpa bilioni moja....bado kwake haitatosha.......

Think big
Take control of your destiny
 
Sijaona ujasiriamali wa namna hyo.10,000 izae laki?hadithi za shigongo hizi.atafanya biashara gani?
 
Kuna watu wana mtaji Lakin hawana wazo la biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…