BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Yani wanaboaga hao, eti njoo inbox. Kitu gani hicho cha kujificha.Epu na haya matapeli
Tukisema matapeli wanapanicYani wanaboaga hao, eti njoo inbox. Kitu gani hicho cha kujificha.
Mkuu umesema vyema ila punguza uoga kujiajiri sio ngumu kama tunavyo fikiria ila kuchukua maamuzi ndo kazi ukisha Fanya maamzi huwezi kujuta hata kidogoMtaji wa 10,000 unaingiza 100,000 kwa muda gani? Ni biashara gani hiyo.
Kuna kitu kinaitwa Time Value of Money. Kupata faida ya milioni tatu ndani ya miezi sita, hiyo kwangu ni hasara, bora niwe mtumwa niingize ela inayoeleweka mwisho wa mwezi.
Mkuu usisikilize maneno ya kila mtu humu. Mwingine hana kazi anatumiwa ela ya vocha lakini akija hapa ni tajiri amejiajiri. Mwingine kaajiriwa muda mrefu lakini bado atakushauri achana na utumwa nenda kajiajiri.
Kujiajiri sio swala dogo. Inabidi uwe na moyo wa simba, lakini pia usitegemee mafanikio ya haraka. Kuanzisha biashara ya maana sio swala rahisi, unaweza kusota hata mwaka mzima hujaona faida inayoeleweka.
Tuliza kichwa mkuu kabla hujaacha kazi, usilete mchezo na kazi japo unanipa mashaka na hiyo akiba yako ya 500,000. Sijaelewa kuwa mshahara wako ni mdogo au matumizi yako ni makubwa. Umefanya kazi kwa muda gani?
Mkuu asante kwa kusema kitu ambacho wengi hatujuiHapa tunadanganyana.kama umepata pa kujishikiza.komaa hapo hapo.usiache kazi uende kujiajiri eti una laki 5.hyo unaona hela?ni afadhali uendelee kuajiriwa.alafu ufungue vijibiashara.uweke watu.lakini si kuacha kazi.
Mkuu kuna wakati akili za wachangiaji zinawatosha wenyewe ujasiliamali hauhitaji mbwembwe inahitaji umakini kuacha kazi sio tatizo tatizo umejipangeje? na tatizo sio kujipanga tatizo unacho enda kukifanya unakijua?Duh you people hii mnasema kufurahisha genge amaa...hehe ujue inategemea na unafanya shughuli gani, Kuna kazi zinawalipa watu jmn acheeeniii mjasiriamali hatii mguu
Ss waweza mshaur mtu kweli aache ukurugenz akauze karanga kisa ni Ujasiriamali?..
Mapambano mema mkuuMe nipo serikalini.... Nmeshanunua hekari 3 maeneo flani karibu na dar.... Natafuta pesa ya kujenga mabanda ya kuku na ng'ombe.... Nkifanikiwa, kuajiriwa bye bye
Nimekuelewa mkuu lakini si kweli kuwa ukishafanya maamuzi huwezi kujuta.Hujawahi kuona biashara zikifa na mtu akajuta, wengine mtaji waliupata kwa mkopo. Tatizo stori za kwenye vitabu hazituelezi hali halisi na changamoto za kujiajiri.Mkuu umesema vyema ila punguza uoga kujiajiri sio ngumu kama tunavyo fikiria ila kuchukua maamuzi ndo kazi ukisha Fanya maamzi huwezi kujuta hata kidogo
Mkuu nashukuru kwa ushuda wako kujiajiri kuna changamoto zake ila pamoja na changamoto kuwa nyingi ukiwa mvumilivu utayaona matunda yake shida inakuja je unapo jiajiri umejipanga kupambana hizo changamoto?Nimekuelewa mkuu lakini si kweli kuwa ukishafanya maamuzi huwezi kujuta.Hujawahi kuona biashara zikifa na mtu akajuta, wengine mtaji waliupata kwa mkopo. Tatizo stori za kwenye vitabu hazituelezi hali halisi na changamoto za kujiajiri.
Nilishawahi kujiajiri lakini kwa sasa nimeajiriwa. Hata hivyo niliwahi kuongea na baadhi ya wadau walioajiajiri na kuangalia miradi mbalimbali. Sizungumzii hizi biashara ndondogo za kutafuta hela ya kula na kulipa kodi ya pango kama ya kuuza karanga barabarani.
Sipingani na swala la kujiajiri, lakini kuacha kazi ili ukajiajiri inabidi uwe makini sana. Kujiajiri sio rahisi kama wengi wanavyotaka kuaminisha wenzao.
Mkurugenzi wa kampuni ya nani?Ujasiriamali huu si mchezoo... Ujasiriamali sio kila kitu mkuu,inategemea na Ujasiriamali, Fate ya muuza karanga vs fate ya mkurugenzi ,SMH...
I admire Ujasiriamali if it pays more than a job not otherwise...
Uko na situation na mawazo kama yangu, tangulia mkuu nami nakuja huko.Habari zenu wanajamvi,
Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu wananikera muda mwingi halafu mshahara ni mdogo sana.
Naomba mnijuze changamoto za kujiajiri, pia nina mtaji wa laki tano sasa ni biashara gani naweza kuanza nayo.
Asanteni
kwann wasema ivo mkuuKilimo. Cha nadharia
Hahaha ujue mnachukulia easy sana Ujasiriamali, em niambie na hio laki tano unalimaje na kusambaza karanga,unafunguaje kampuni?? Unadhani ni ishu ya leo na kesho Hio??huu mchezo kaufanya bakhresa for 30 plus years... Bakhresa tunao wangapi, tuwe realistic...Mkurugenzi wa kampuni ya nani?
Maana mimi nauza karanga leo..lakini kesho nitafungua kampuni ya kusambaza na kulima karanga,na nitahitaji mkurugenzi,je hauoni Ladyred kua utaleta tena cv yako kwangu kuomba kazi ya ukurugenzi wa kampuni ya karanga ambayo imetokana na kuuza karanga barabarani.
Waafrica tunapenda sana readymade,hatutaki shida.
Ieleweke wazi pia wewe ndo kampuni kampuni ndo wewe, so it is work work work work work and work muda woote,hizi show za kuwa na kampuni sio za sa 11 unaachia desk, ts ur company u work all the damn time...u should live with these people wenye makampuni jmn,sijui km kuna watu wanafanya kazi kama hawa...habari za ur own boss ni badaaee sanaa, huku from scratch ni msoto mwanzo mwishoUko na situation na mawazo kama yangu, tangulia mkuu nami nakuja huko.
Changamoto:
~Kuna kupanda na kushuka katika kila biashara(usikimbilie nguvu za giza);
~Kuna wateja wengi watukutu-wenye lugha chafu, dharau, dhuluma, etc..(nenda nao taratibu, usivunje sheria);
~Government policy- utapambana na kodi na makato mbalimbali kuendana na biashara yako (tii sheria, jitume ili upate faida ya kutosha, faida yako isiishie TRA);
~Kuna watu wabaya, eg. majambazi, huwa wanaharibu biashara za watu wengi especially maduka (muombe Mungu ulinzi, pia mtaji wako ukikua wekeza sehemu nyingi tofauti kadri utakavyoweza, hapo ukiibiwa n kama unatekenywa tu);
Etc...etc...
Faida:
~You will be your own boss (hakuna kupelekeshwa);
~Kipato chako kitaongezeka kulingana na juhudi na ujanja wako (be creative);
~Hakuna pressure za kukaguliwa vyeti wala kutumbuliwa (wewe ndiye mtumbuaji);
Etc...etc...
NB:Tunza vyeti vyako vizuri, biashara si fani ya kila mmoja.
Ni kweli dada inahitaji kujituma sana, pia pressure na kisukari huwa havikawii endapo mtu hana ujasiri na uwezo wa kuhimili mikiki!Ieleweke wazi pia wewe ndo kampuni kampuni ndo wewe, so it is work work work work work and work muda woote,hizi show za kuwa na kampuni sio za sa 11 unaachia desk, ts ur company u work all the damn time...u should live with these people wenye makampuni jmn,sijui km kuna watu wanafanya kazi kama hawa...habari za ur own boss ni badaaee sanaa, huku from scratch ni msoto mwanzo mwisho
i) Hali ya uchumi mitaa ya Africa si nzuri imagine majirani zetu Kongo wameshindwa ku raise $ kwa uchaguzi...Habari zenu wanajamvi,
Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu wananikera muda mwingi halafu mshahara ni mdogo sana.
Naomba mnijuze changamoto za kujiajiri, pia nina mtaji wa laki tano sasa ni biashara gani naweza kuanza nayo.
Asanteni