Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,371
Humu wapo watu wa aina zote unazozijua na usizozijua duniani....Kuna matapeli humu
Acha kumtia woga dogo....hakuna kipindi kizuri kama hiki kujiajiri....fursa za kumwaga. ...tangu nimezaliwa unga wa ugali haujawahi kuuzwa kilo buku miatatu...Leo unauzwa buku mia nane....Acha kujitafutia shida. Huki sio kipindi kizuri cha kujiajiri. Utakuja kupata magonjwa ya moyo bure. Sasa kama elimu yako mbuzi kwa nini usitumwe tumwe? Kama hupendi kutumwa kaongeze elimu...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Humu wapo watu wa aina zote unazozijua na usizozijua duniani....
wako mapadre wachungaji mashehe maaskofu masista wateja mashoga mabasha vibamia mandingo bwawa visima
wamo pia maduu matozi usalama wa taifa usalama wa raia marais wananchi wapiga kura wabunge madiwani madalali wezi majambazi
wako vibonge wembamba wasomi
wamo timu simba timu yanga timu kiba timu WCB wako timu muziki mzuri na timu ujanjaujanja
wapo pia bingo fleva na wapo bongo movie mazombii mazumbukuku wa insta wa fb wa viber wa Twitter wa badoo na takataka zozote unazozijua na usizotarajia kuzijua leo wala kesho
HONGERA mkuu....nani nitoe ushuhuda wangu...2008 August 08 naacha kazi rasmi...mke hanielewi wazazi hawanielewi na hata washkaji hawanisomi kabisa wanaamini kuna mchango unaolipa zaidi ndio nimeufuata....nikamwambia no naacha kazi naingia mtaani kupamban mwenyewe...Jamani niliacha toka juni 2015 nimeamua niliamua kufanya biashara lakini familia yangu na jamii nzima kijjin kwtu walinizarau na kuisi nimerogwa na kaka yangu !! adi baba yangu mzazi alisema nimemshusha hazi kabsa lakini leo nimefanyia mazur hadi ame surrender yule mzèee ata majiran heshima ina fika na wengine wamekasirika palifikia na maamuzi ya kurud kazin ili yule mzee alizike
Ujasiriamali sio ufanya biashara....ukishajua tofauti ya hivi vitu utakuja huku tuliko tena bila hata ya buku na ukatusua mbayaSijaona ujasiriamali wa namna hyo.10,000 izae laki?hadithi za shigongo hizi.atafanya biashara gani?
Mkuu kuogopa ni sawa na kuwa umekufa changamoto zinavyo kuwa nyingi ndo akili inaongeza namna ya kufikiri mpaka kuyafikia mafanikioHONGERA mkuu....nani nitoe ushuhuda wangu...2008 August 08 naacha kazi rasmi...mke hanielewi wazazi hawanielewi na hata washkaji hawanisomi kabisa wanaamini kuna mchango unaolipa zaidi ndio nimeufuata....nikamwambia no naacha kazi naingia mtaani kupamban mwenyewe...
ila wife nilimjenga kisaikolojia kuwa asishangae tupo nyumba ya kupanga maisha yanaweza kukataa tukatimuliwa na pia asishangae katikati ya jiji tukapikia kuni na maisha yakasonga...so alinielewa kuwa tunakoenda sio kuzuri tujipange.
sekeseke likaanza. ..ndani ya mwezi wa kwanza tangu niache kazi nimeanza kugongea buku la vocha kwa wife....plan zangu kumkichwa...baadae nikapita nssf yangu kama 5mil nikajipanga nikalianzisha....napiga kazi ya kwanza nikakopwa kama 18mil ndani ya mwaka mzima....nilivyokuja kulipwa the rest ni story na huwa nasikitika mtu anavyoogopa kuacha kazi kama vile ana ubia na mungu kuwa ajira yake ndio maisha yake....
kulala njaa kutembea kwa miguu kukesha unafanya kazi na kutolipwa kwa wakati ni changamoto za kila anayejiajiri.
ubunifu katika kazi zako unyenyekevu heshima ya matumizi ya pesa na kufanya kazi kwa bidii huku ukimwomba sana MUNGU ndio siri ya mafanikio katika kila story ya aliyejiajiri
Sawa kila mtu na maoni yake, naheshimu mawazo yako mkuu ila kumbuka kuna watu walishaacha kazi baada ya muda mfupi wakarudi kulilia Kazi, kuacha Kazi ni jambo zuri ila unahitaji maandalizi ndo maana watu wengi utasikia alifanya Kazi kisha akaacha akafungua biashara it means alijipanga kabla ya kuachaUshauri wa kuoga huu. ...hakuna kitu inanikera kama msomi anaposema unatake calculated risks...upuuzi daraja la kwanza. ...risks are just risks no more no less.
umwamua kuacha kazi acha ingia mtaani mengine muachie mungu....finito.
ha ha ha et nichum nibebike.. kweli majina haishiAcha kujitafutia shida. Huki sio kipindi kizuri cha kujiajiri. Utakuja kupata magonjwa ya moyo bure. Sasa kama elimu yako mbuzi kwa nini usitumwe tumwe? Kama hupendi kutumwa kaongeze elimu...
Mkuu me nawachora2 hao wanaomsaport, hali kwasasa sio shwar kitaa nivizur kabla ajaacha kazi angeshaanza hiyo biashara ili aje akiwa nauhakika waatachokifanya, mliobahatika kupata ajira nivizur mkaanzisha miradi mingine mkiwa bado mpo kwenye ajira ila usiache kazi hali yakuwa bado ujajua utafanya niniAcha kujitafutia shida. Huki sio kipindi kizuri cha kujiajiri. Utakuja kupata magonjwa ya moyo bure. Sasa kama elimu yako mbuzi kwa nini usitumwe tumwe? Kama hupendi kutumwa kaongeze elimu...
Unatoka kwenye utumwa unaingia kwenye kujituma mwenyewe.....ili uyaone mafanikio unatakiwa ujitume kuliko hata ulivyokuwa ukitumwa mwanzo..........
Mimi huwa namheshimu mtu anayeuza karanga zake barabarani kuliko hata mkurugenzi wa ofisini.....
Hii haiwezi kuwa serious umeandika kufurahisha jamvi.
Daah! kuajiriwa ni utumwa wa kudumaza akili...lakini mm nakushauri kitu kimoja piga kazi.Habari zenu wanajamvi,
Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu wananikera muda mwingi halafu mshahara ni mdogo sana.
Naomba mnijuze changamoto za kujiajiri, pia nina mtaji wa laki tano sasa ni biashara gani naweza kuanza nayo.
Asanteni
Wachache sana wataelewa "comfort zone" ni ni na hapo ndioo maana halisi ya quote hiyo!Safari yetu ni moja lakini nadhani tunatumia vyombo tofauti vya usafiri.....
Wachache sana wataelewa "comfort zone" ni ni na hapo ndioo maana halisi ya quote hiyo!