fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
habari za weekend wakuu i hope mko salama wote
Kama kichwa cha habari kinavyosema apo juu siku hizi nashawishika kuanza kufanya biashara ya kupaka kucha wakina dada au kina mama sababu ni kazi nzuri na inalipa hasa kwa dsm japo unapigwa na jua lakini unapata faida mara 2 kwa hiyo natoa tangazo hata wadada au kinamama wa humu JF kama utakua na shida ya upakaji rangi kucha,kusafisha miguu, masaji ya mg0ngo,na,viungo vingine, unaweza kuni PM popote nafika kwa hapa dar huduma ni nzuri na ni gharama nafuu na hutojuta kupata huduma hizi
Na biashara ni kila siku kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na m0ja na nusu (juma 3 hadi ijumaa) na siku za weekend biashara inaanza saa tatu na nusu asubuhi mpaka saa mbili na nusu usiku
Kwa hiyo wadada mnakaribishwa sana hasa wale ambao hawatoki nje yaani ndani ya geti muda wote na hata wababa waliooa wanakaribishwa kunipa wake zao niwasugue miguu na kupaka rangi kucha
KARIBUNI SANA
#HAPAKAZITU
#YUNGT3MPER
YES BISHOO HASWAA
Kama kichwa cha habari kinavyosema apo juu siku hizi nashawishika kuanza kufanya biashara ya kupaka kucha wakina dada au kina mama sababu ni kazi nzuri na inalipa hasa kwa dsm japo unapigwa na jua lakini unapata faida mara 2 kwa hiyo natoa tangazo hata wadada au kinamama wa humu JF kama utakua na shida ya upakaji rangi kucha,kusafisha miguu, masaji ya mg0ngo,na,viungo vingine, unaweza kuni PM popote nafika kwa hapa dar huduma ni nzuri na ni gharama nafuu na hutojuta kupata huduma hizi
Na biashara ni kila siku kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na m0ja na nusu (juma 3 hadi ijumaa) na siku za weekend biashara inaanza saa tatu na nusu asubuhi mpaka saa mbili na nusu usiku
Kwa hiyo wadada mnakaribishwa sana hasa wale ambao hawatoki nje yaani ndani ya geti muda wote na hata wababa waliooa wanakaribishwa kunipa wake zao niwasugue miguu na kupaka rangi kucha
KARIBUNI SANA
#HAPAKAZITU
#YUNGT3MPER
YES BISHOO HASWAA