mkata-mkaa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 296
- 181
Ni kweli mkuuHio inaitwa pasi ndefu.sio mbaya
Mbona hela ya kuweka bando unayo utakuwa unakula jf mchana usijaliKutokana na ugumu wa maisha ...nime amua nisiwe nakula mchana ..yan nakula asubuhi na usiku tu....je kuna madhara yoyote kiafya?
Mbona hela ya kuweka bando unayo utakuwa unakula jf mchana usijali
Ndo mi huwa naita binadamu wa dharuraHahahaaMaisha magumu(yanachanganya),unakuta mtu anaumwa kichwa anaweka bando alalamike mtandaon anaumwa.
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Ila natumai watoto unawapa milo mitatu
Huyu jamaa yupo sahihi kujinyima mlo mmoja wa mchanamchana ili aweke bando ajue madhara ya kutokula kwasababu pesa ya bando ya siku moja haiwezi kumfanya ale mchana kwa siku zinazofuata. Hata mimi nakula milo miwili tu kwa siku, asubuhi nakandamiza breakfast kubwa ikifika saa tisa nagonga Chakula cha mchana, usiku napiga Dash, ni mwaka wa pili huu sijambo kabisaHahahaaMaisha magumu(yanachanganya),unakuta mtu anaumwa kichwa anaweka bando alalamike mtandaon anaumwa.
Kutokana na ugumu wa maisha ...nimeamua nisiwe nakula mchana ..yaan nakula asubuhi na usiku tu....je kuna madhara yoyote kiafya?
Kutokana na ugumu wa maisha ...nimeamua nisiwe nakula mchana ..yaan nakula asubuhi na usiku tu....je kuna madhara yoyote kiafya?
Huyu jamaa yupo sahihi kujinyima mlo mmoja wa mchanamchana ili aweke bando ajue madhara ya kutokula kwasababu pesa ya bando ya siku moja haiwezi kumfanya ale mchana kwa siku zinazofuata. Hata mimi nakula milo miwili tu kwa siku, asubuhi nakandamiza breakfast kubwa ikifika saa tisa nagonga Chakula cha mchana, usiku napiga Dash, ni mwaka wa pili huu sijambo kabisa