vannessa2
Senior Member
- Jan 20, 2017
- 176
- 81
Madhara yapo kama vidonda vya Tumbo jitahidi ule asubuhi na mchana usiku hata ukidesh Hakuna shidaKutokana na ugumu wa maisha ...nimeamua nisiwe nakula mchana ..yaan nakula asubuhi na usiku tu....je kuna madhara yoyote kiafya?