NAKAZIASababu ya hiyo fine?
Unapoanza ni muhimu kuanza na leseni sio hadi uuzeKutokua Na leseni ya biashara.biashara yenyewe hata mwezi haina
Umewekeza 2m umeshindwa kukata leseni?Kutokua Na leseni ya biashara.biashara yenyewe hata mwezi haina
Leseni bei gani?Frem nalipia elfu 45 ni duka Dgo sana
Yani nimepata ka hela kidgo baada ya kuachishwa kaZi nikasema ngoja nianzishe kibiashara tena cha mtaji wa million mbili leo hii watu wa wamanispaa wamenikamata wanataka nilipe fine ya laki nne Na nusu Na biashara yenyewe kila siku nalala tu ofisini,Kwa anayehitaji nimuuzie biashara ya vinywaji baridi anaweza kuni pm frem iko tabata bima ngoja nikalime tuu
Nenda kesho kamuone boss mmoja umweleze ukweli..mbona unakata tamaa mapema sana ? Kha! Nenda na 50 tu...Kutokua Na leseni ya biashara.biashara yenyewe hata mwezi haina
Mmeanza waja!Vipi hii iliishia wapi mkuu?? maana hii kitu ni adui wa biashara
Nina bahati ya kupendwa na wanawake wajawazito
Nina bahati ya kupendwa na wanawake wajawazito
Wandugu nimekua Na bahati au sijui niitaje ila wanawake wengi wajawazito wamekua wakivutiwa Na mimi Na pindi wakijifungua wanakua hawanipendi tena,wengi huna Wananambia eti kipindi kile cha ujauzito nilikua nakupenda Na nilikua nataka unigegede na hii imetokea kwa wanawake wengi sana toka nipo...www.jamiiforums.com