Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 613
- 1,297
Uliwahi kufanya biashara yoyote kabla? au iyo ndo biashara yako ya kwanza kwasababu tu uliachishwa ajira? naomba unijibu ili tuendelee na majadiliano.Yani nimepata kahela kidogo baada ya kuachishwa kazi nikasema ngoja nianzishe kibiashara tena cha mtaji wa million mbili leo hii watu wa wamanispaa wamenikamata wanataka nilipe faini ya laki nne na nusu na biashara yenyewe kila siku nalala tu ofisini.
Kwa anayehitaji nimuuzie biashara ya vinywaji baridi anaweza kuni PM fremu ipo Tabata Bima.
Ngoja nikalime tu.
Cheza ForexYani nimepata kahela kidogo baada ya kuachishwa kazi nikasema ngoja nianzishe kibiashara tena cha mtaji wa million mbili leo hii watu wa wamanispaa wamenikamata wanataka nilipe faini ya laki nne na nusu na biashara yenyewe kila siku nalala tu ofisini.
Kwa anayehitaji nimuuzie biashara ya vinywaji baridi anaweza kuni PM fremu ipo Tabata Bima.
Ngoja nikalime tu.
🤣🤣🤣🤣 nakula ugali had umeanguka..dah .ila wewe🤣🤣🤣🤣🙌🙌! Yaan nimecheka sanaCheza Forex
Mie watu wa afya nilishindwana nao...nikasema easy..nikaweka biashara yangu hom...wanachosha balaaNilipigwa faini nilipokwenda baada ya mwezi nikasema nataka kufungua biashara ,nataka lesani wakaniuliza ulifuatwa na kuandikiwa uje nikasema hapana ....nimekuja tu mwenyew .nililipa leseni nikaamshaaa.
Haya maisha bro hakuna wa kukuonea huruma komaaa acha ujinga wa kufunga biashara ........nenda kawapige sound afuu uwe na maneno mengiii ya kuwaplease na kuwakwezaaaaa....usijifanye mjuaji .mapema sanaaaaa unatoka na leseni yako baada ya kulipa wiki tu unaikamata ..kiufupi maisha ya biashara ni ya kukimbizana hpo bado watu wa afya,watu wa mazingira ,Chuma ulete na wezi plus wenye roho mbaya wote hawa inabd upambane nao na sio ww tu .
Hapo bado hajakutana na wadulumati, wakopaji wanachelewesha kulipa, wezi wanavunja wanaiba, wakabaji wanakuvizia umefunga biaashara wanakutaimu uwape hela ya mauzo Yani balaa tupu. Akomae tu.Nilipigwa faini nilipokwenda baada ya mwezi nikasema nataka kufungua biashara ,nataka lesani wakaniuliza ulifuatwa na kuandikiwa uje nikasema hapana ....nimekuja tu mwenyew .nililipa leseni nikaamshaaa.
Haya maisha bro hakuna wa kukuonea huruma komaaa acha ujinga wa kufunga biashara ........nenda kawapige sound afuu uwe na maneno mengiii ya kuwaplease na kuwakwezaaaaa....usijifanye mjuaji .mapema sanaaaaa unatoka na leseni yako baada ya kulipa wiki tu unaikamata ..kiufupi maisha ya biashara ni ya kukimbizana hpo bado watu wa afya,watu wa mazingira ,Chuma ulete na wezi plus wenye roho mbaya wote hawa inabd upambane nao na sio ww tu .
Hakuna haja ya mkurugenzi. Hicho huwa ni kitengo cha Afya mazingira.Acha ulaini broo, maisha yana risk na uncertainty za kila aina kupigwa tu faini unataka kugive up
Hebu negotiate nao, nenda kwa Mkurugenzi if possible jieleze most of them hao wanatakaga tu za kula ila angalia kosa hilo je lina adhabu ya namna hiyo??
No smooth road at all
Unachanganya madesa sasa!Vipi hii iliishia wapi mkuu?? maana hii kitu ni adui wa biashara
Nina bahati ya kupendwa na wanawake wajawazito
Nina bahati ya kupendwa na wanawake wajawazito
Wandugu nimekua Na bahati au sijui niitaje ila wanawake wengi wajawazito wamekua wakivutiwa Na mimi Na pindi wakijifungua wanakua hawanipendi tena,wengi huna Wananambia eti kipindi kile cha ujauzito nilikua nakupenda Na nilikua nataka unigegede na hii imetokea kwa wanawake wengi sana toka nipo...www.jamiiforums.com