Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 613
- 1,297
Acha ulaini broo, maisha yana risk na uncertainty za kila aina kupigwa tu faini unataka kugive up
Hebu negotiate nao, nenda kwa Mkurugenzi if possible jieleze most of them hao wanatakaga tu za kula ila angalia kosa hilo je lina adhabu ya namna hiyo??
No smooth road at all
Hebu negotiate nao, nenda kwa Mkurugenzi if possible jieleze most of them hao wanatakaga tu za kula ila angalia kosa hilo je lina adhabu ya namna hiyo??
No smooth road at all