Nimeamua rasmi kuwa mwekezaji mkubwa katika soka la Tanzania

Nimeamua rasmi kuwa mwekezaji mkubwa katika soka la Tanzania

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Ndugu wanahabari wenzangu, ni mimi tena Sheikh Sayville mwenye visima vya mafuta ya alizeti.

Baada ya kutafakari kwa kina na kusikia vilio na maombi ya wengi, nimeamua kwa utashi wa moyo wangu kuwekeza katika soka.

Nimezingatia jinsi ninavyotumia muda mwingi katika mambo haya ya mipira, ni vyema nikapata chochote kitu badala ya kuwaachia kina GSM ambao ukimuuliza kama anamjua Edibily Lunyamila au Hamis Gaga atabaki tu kukwambia "Yanga Bingwa".

Hapa chini nimeambatanisha uwekezaji wangu wa awali na napanga kuongeza kiwango. Mdogo mdogo mtasikia na mimi nadhamini vilabu 5 vya ligi kuu.

PS. Mimi ndiye yule mwekezaji ambaye Mama yenu alisema atakuja kunitambulisha hivi karibuni. Nimeamua kuvunja protocol.
 

Attachments

  • My first winning on M-Bet.jpg
    My first winning on M-Bet.jpg
    141.7 KB · Views: 4
Utasubiri saaaaaana. Halafu kanuni yetu ni ile ile, "ukitaka kula lazima ukubali kuliwa", pause.
Kamari always itamfaidisha mwenye kampuni sio nyie wa kubeti. Tuache ubishi weka mikeka yenye timu zaidi ya mbili tu na uitangaze hapa kabla ya mechi ukishinda mikeka saba mfululizo ipo laki Tano ya bure kabisa
 
Kamari always itamfaidisha mwenye kampuni sio nyie wa kubeti. Tuache ubishi weka mikeka yenye timu zaidi ya mbili tu na uitangaze hapa kabla ya mechi ukishinda mikeka saba mfululizo ipo laki Tano ya bure kabisa
Wakati huo huo na wewe upo hapa unabeti kuwa siwezi pata hiyo laki 5 yako. Na mikeka 7 yenye timu zaidi ya 2 ikitiki, hiyo laki 5 ya noti bandia naweza hata nisiikumbuke. Pia kwa nini unataka niweke mkeka kabla ya mechi na siyo baada?
 
Wakati huo huo na wewe upo hapa unabeti kuwa siwezi pata hiyo laki 5 yako. Na mikeka 7 yenye timu zaidi ya 2 ikitiki, hiyo laki 5 ya noti bandia naweza hata nisiikumbuke. Pia kwa nini unataka niweke mkeka kabla ya mechi na siyo baada?
Nachotaka Mimi nikuacha kudanganya watu kwamba betting ni jambo jepesi la kujipatia pesa tu kirahisi. Nasema uweke mkeka kabla ili kuondoa kujidai umekula mkeka wakati siku unakosa hutuambii. Ili kutuaminisha kwamba betting ni rahisi weka mikeka alafu uweke adharani kabla ya mechi alafu tuone utapatia? Sio ukipatia ndio unauleta kwenye thread. Mbona ambazo unakosea huzileti au zote Huwa unapatia
 
Ukiliwa wewe wenzio wanakula mzee kwani inakuuma nini mwenzio akiweka mkeka si wake wewe unamuonea wivu wa nini pambana na maisha Yako mzee kama umeshindwa betting ni wewe na umasikini wako wenzio wanatoboa sijui kwanini masikini mnakua na wivu hivi
Nachotaka Mimi nikuacha kudanganya watu kwamba betting ni jambo jepesi la kujipatia pesa tu kirahisi. Nasema uweke mkeka kabla ili kuondoa kujidai umekula mkeka wakati siku unakosa hutuambii. Ili kutuaminisha kwamba betting ni rahisi weka mikeka alafu uweke adharani kabla ya mechi alafu tuone utapatia? Sio ukipatia ndio unauleta kwenye thread. Mbona ambazo unakosea huzileti au zote Huwa unapatia
 
Wakati huo huo na wewe upo hapa unabeti kuwa siwezi pata hiyo laki 5 yako. Na mikeka 7 yenye timu zaidi ya 2 ikitiki, hiyo laki 5 ya noti bandia naweza hata nisiikumbuke. Pia kwa nini unataka niweke mkeka kabla ya mechi na siyo baada?
Ili Aroge
 
Ukiliwa wewe wenzio wanakula mzee kwani inakuuma nini mwenzio akiweka mkeka si wake wewe unamuonea wivu wa nini pambana na maisha Yako mzee kama umeshindwa betting ni wewe na umasikini wako wenzio wanatoboa sijui kwanini masikini mnakua na wivu hivi
Dah mimi mwenyewe nashangaa ananikazia utafikiri nimemuomba hata 100. Halafu sijui ametoa wapi maneno eti nimesema betting ni rahisi. Mambo mengine yanashtua sana.
 
Ukiliwa wewe wenzio wanakula mzee kwani inakuuma nini mwenzio akiweka mkeka si wake wewe unamuonea wivu wa nini pambana na maisha Yako mzee kama umeshindwa betting ni wewe na umasikini wako wenzio wanatoboa sijui kwanini masikini mnakua na wivu hivi
Hayo ni maneno ya kujifariji. Nmeeleza wazi weka mikeka mapema hapa tuone matokeo. Acheni kujaza watu upepo kuchangia makampuni ya kamari. Umasikini unao wewe unayebeti. Ukiwa na uhakika wa uzalishaji fedha huwezi angaika na kamari kama njia ya kipato.
 
Back
Top Bottom