aha wewe ni kijana bado hivo triple 7 , club next door, element, maisha club ndo size zako asee23 so naexpect unitajie sehemu za watu wazima
23? you sound like 17..23 so naexpect unitajie sehemu za watu wazima
, inabidi uende ukajionee asee and kunogewa at your own risk [emoji615] ,Kuna nini special huko?
raha ya sehemu kama hizo uwe na kampani tu, kama vipi tujuike wote , au unasemaje am a girlMmmh..kunogewa si rahisi kama hamna cha maanza zaidi ya mziki
i thought you said umechoka u-anti social [emoji13]Nafurahi nikiwa alone[emoji14]
sasa ili usirudie yaleyale jumuika nami basi [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] see now nimeuzoea hadi najisahau