Nimeamua sitaki tena mchumba

Nimeamua sitaki tena mchumba

Retired Sister

Senior Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
182
Reaction score
224
Wana Jf,

Naomba radhi kwa wale walionitumia maombi yao.Bahati nzuri kabla sijakutana na yoyote nilikutana na college mate tumeanza mahusiano.

ila muwe na subira kama tukishindwana nitarudi
.
 
Hata sisi tulishaamua kuchangishana nauli tukupeleke dodoma
 
nani atataka matapishi ale?!! tayari tushaku-note labda uje kwa ID nyingine!
 
Kwa hiyo wewe hujiamini....Au ndo yale mambo ya plan A ikifeli tumia plan B ikiwezekana na C kabisa..
 
Wana Jf,

Naomba radhi kwa wale walionitumia maombi yao.Bahati nzuri kabla sijakutana na yoyote nilikutana na college mate tumeanza mahusiano.

ila muwe na subira kama tukishindwana nitarudi
.

This is a private matter. Tunaomba uwasiliane nao kupitia private message. Sio vizuri kujaza mada ambayo ungeweza kuwasiliana na wahusika moja kwa moja. Ni ushauri tu. Hutaki unaacha.
 
Mmh kweli mtoto wa kike akitaka kuolewa hachagui habagui lol
 
ha ha haaaa... maombi yalimzidia.... kweli ujana burudani!!!!
 
Hivi kweli wewe ni sista au mpango wa kulichafua kanisa!!!!!!!!!
 
Mweeeee... Kwa hyo ndo tushakosa bahati !

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Huna adabu kabisa those were personal issues wewe na walioku PM tena ukumbuke hawakutuma maombi bali walikujibu, sasa we ni jamvi la wagen na mate zake wa chuo, kwa niaba ya madume wenzangu tunakupotezea, na hata ukirudi hapa kwa ID nyingine hakika utaishia tu kukwaruriwa, mme mwema wako wewe alikuepo humu jamvin sasa we unaenda kutoa wapi sjui, kwaiyo zamani mkiwa mnasoma hakukuona? au kawa mgane? jiwe la mwanzo ndio huwa lina matunda, kwaiyo watake radhi wadau na hilo liheading lako li editor ukibisha basi ujijue una asili ya udungayembe.
 
Namckitia hyo chalii wa xaxa hv coz naamin huna nae muda mrefu kwan maelzo yko ynaonyesha kna ki2 unatak kwke then bdae ummwage kma maji ya povu!!!
 
Back
Top Bottom