Nyoka kibisa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 568
- 1,507
Kwa kweli umesema vyema maana round ya pili huwa haieleweki maana kuna timu zinagombania top 4 na zingne zinagombania kubaki ligi kuu yaan ni shida ahsant kwa ushauriMwanzoni mwa legue utapiga pesa sana na mhindi atapata tabu sana. Ila mzunguko wa pili usi bet ni hatari kwa afya ya akili yako.
Siku zote naamini moja wapo ya njia au mbinu ya kupata pesa ni kuthubutu na nishawahi kuthubutu ko ni kitu ambacho kidogo nna mwanga wange au A b c zake ngja tupambane broJiandae kisaikolojia kuipoteza hiyo hela
Hawa ni kuwawekea tu over 1.5 au 2.5NAWAKATAA ARSENAL NA MAN CITY MECHI ZAO ZA MWANZO
Cha madrasa labdaa!!??SEMA SI CHUO TULIKUWA TUNAUZA KACHUMBALI VIJIKO 2 MIA 5,TUNATUMIA BUKU2 TUNAPATA MPAKA ELFU 10
Kodi kibao had kelooNi bora hiyo hela ufungue genge
Kila la kheri. Ukikosa usikate tamaa.hao wajinga wawili walininyima Mil 1.5.ukikosa usipanic.jitahidi kubetia amateur ligi.
Masuala ya kutoa magoli mengi ni kawaida.
Usipende kubet ligi kubwa kubwa hazina ishu.
mkuu mm nimeliwa sana mkuu nadhani inaweza fika 400k, na pesa niliyomla haiwezi fika hata 150k. kubet kumenitoka moyoni kbx naona kawaida siyo kama zamani arostojitahidi kubetia amateur ligi.
Masuala ya kutoa magoli mengi ni kawaida.
Usipende kubet ligi kubwa kubwa hazina ishu.