Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
Tumbo lake limefanya Nini!? Plz Kama humpendi mwambie na muachane SIPENDI WANAUME WANYANYASAJI WA WANAWAKENajilaumu mno, huyu mpenzi wangu amenichemshia maziwa na mikate, nilikuwa na hasira tu hasa baada ya kuliangalia tumbo lake na usumbufu anaonipa.
Bado nina hasira mno mpaka muda huu. Chupa ya chai imevunjika na visosi vyote vimevunjika.
Napitia kipindi kigumu kiasi, napata hasira nikiliona tumbo lake.[emoji34] Arrrggghhhhhh!
Sorry sikuwa na chaguoKwani mnatunyanyasa ivi ukiona mtu ana mapungufu usiyoweza kuyastaamili muache tu usimfanye ajisikie vibaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu jamaa bhana! Hahaha! Hii computer yako kama sio kuingia maji sijuiNajilaumu mno, huyu mpenzi wangu amenichemshia maziwa na mikate, nilikuwa na hasira tu hasa baada ya kuliangalia tumbo lake na usumbufu anaonipa.
Bado nina hasira mno mpaka muda huu. Chupa ya chai imevunjika na visosi vyote vimevunjika.
Napitia kipindi kigumu kiasi, napata hasira nikiliona tumbo lake.[emoji34] Arrrggghhhhhh!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Najilaumu mno, huyu mpenzi wangu amenichemshia maziwa na mikate, nilikuwa na hasira tu hasa baada ya kuliangalia tumbo lake na usumbufu anaonipa.
Bado nina hasira mno mpaka muda huu. Chupa ya chai imevunjika na visosi vyote vimevunjika.
Napitia kipindi kigumu kiasi, napata hasira nikiliona tumbo lake.[emoji34] Arrrggghhhhhh!
[emoji3][emoji3]Kaliangalie tumbo la shangazi yako then rudi liangalie tumbo la mke wako.
Pumbavu