Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
Najilaumu mno, huyu mpenzi wangu amenichemshia maziwa na mikate, nilikuwa na hasira tu hasa baada ya kuliangalia tumbo lake na usumbufu anaonipa.
Bado nina hasira mno mpaka muda huu. Chupa ya chai imevunjika na visosi vyote vimevunjika.
Napitia kipindi kigumu kiasi, napata hasira nikiliona tumbo lake.[emoji34] Arrrggghhhhhh!
Bado nina hasira mno mpaka muda huu. Chupa ya chai imevunjika na visosi vyote vimevunjika.
Napitia kipindi kigumu kiasi, napata hasira nikiliona tumbo lake.[emoji34] Arrrggghhhhhh!