Nimeanza kuamini ulegelege wetu Waafrika kama Bara katika maendeleo unatokana na wastani wa IQ ya umma (population) kuwa chini Sana

Nimeanza kuamini ulegelege wetu Waafrika kama Bara katika maendeleo unatokana na wastani wa IQ ya umma (population) kuwa chini Sana

Hapo nimeona umelengs watumishi wa umma,je wasio watumishi wa umma ndio wana iq kubwa zaidi?
 
Hapo nimeona umelengs watumishi wa umma,je wasio watumishi wa umma ndio wana iq kubwa zaidi?
Huko kuna afadhali zaidi maana nachojua sekta binafsi ina watu ambao inabidi wawe competent vya kutosha ili mambo yaende, hawa wenye vyeo vya milele mpaka kustaafu hawaitaji kuchangamsha bongo saana
 
Bora tubaki tu na IQ zetu mbofumbofu zenye mushkel kuliko kukumbatia na kuhalalisha mapenzi ya jinsia moja hadharani na kuwa na mindset za kijinga eti mwanamke mrembo anafanana hivi kama kwenye picha hapo chini.
View attachment 3143489
Huu ni mfano halisi wa mtu mwenye IQ ndogo, kushindwa kujikita kwenye mada husika na kutoa visingizio uchwara kama hivi... tatizo hili sababu kubwa ni uwezo mdogo wa akili kuchambua na kufanya tafakuri ...
 
Katika chimba-chimba yangu ya kulielewa hili bara na kwanini tupo hivi (ukiondoa lawama za "mkoloni" ambazo hazina mashiko kwa Karne hii) nimekuja kugundua ikija katika masuala ya IQ ya umma wetu aisee inahitaji nguvu ya ziada kuipandisha

Hadi Sasa nimetambua Kuna classification tatu za binadamu; Kuna Caucasoids (wazungu), Mongoloids (watu wa Asia mf. Wachina wahindi n.k), kisha Negroids (Waafrika); ikija katika utafiti uliofanyika juu ya wastani wa IQ katika umma hizi tatu kilichoonekana ni kama ifuatavyo:

  1. Mongoloids (Wastani wa IQ ni 110 - 120)
  2. Caucasoids (Wastani wa IQ ni 100)
  3. Negroids (Wastani wa IQ ni 85)
IKUMBUKWE hapa kinachoongelewa ni WASTANI hivyo sio Kila Mwafrika ana IQ ya 85 na sio Kila Mchina na Mzungu anafika hiyo 100 au anazidi; ni Imani yangu kwamba wastani huu mdogo tulionao unapelekea watu wengi wanaoingia katika utumishi wa Umma na nyadhifa nyingine kubwa za kuliongoza hili bara kuwa na IQ ndogo na ushahidi wa hili janga ni kuwa kitamaduni katika bara letu anayefika juu na kupewa nafasi sio kwamba ni Bora au "ana kitu kichwani" bali ana mjua nani na ana nini;

Hivyo sitashangaa Sana kama uhalisia ni kuwa Waafrika wengi wenye IQ kubwa wanaozea kwenye nafasi ambazo ni za kawaida kabisa na wale wenye nafasi ya kung'aa sana huchukuliwa na nchi zinazothamini IQ zao (brain drain)
Africa ya ajabu watu kama mafuru na ndungulile wanatoweka wanabaki watu hopeless kama makamba na nape.
 
Aftica hatujaamua kuachana na utumwa kwa mzungu. Ndio maana unakuta mtu unamheshimu tu halafu anasimama kjukwaani kukwambia ametoka kuhemea kwa wazungu kitu ambacho mkiamua kinapatikana hapahapa
 
Katika chimba-chimba yangu ya kulielewa hili bara na kwanini tupo hivi (ukiondoa lawama za "mkoloni" ambazo hazina mashiko kwa Karne hii) nimekuja kugundua ikija katika masuala ya IQ ya umma wetu aisee inahitaji nguvu ya ziada kuipandisha

Hadi Sasa nimetambua Kuna classification tatu za binadamu; Kuna Caucasoids (wazungu), Mongoloids (watu wa Asia mf. Wachina wahindi n.k), kisha Negroids (Waafrika); ikija katika utafiti uliofanyika juu ya wastani wa IQ katika umma hizi tatu kilichoonekana ni kama ifuatavyo:

  1. Mongoloids (Wastani wa IQ ni 110 - 120)
  2. Caucasoids (Wastani wa IQ ni 100)
  3. Negroids (Wastani wa IQ ni 85)
IKUMBUKWE hapa kinachoongelewa ni WASTANI hivyo sio Kila Mwafrika ana IQ ya 85 na sio Kila Mchina na Mzungu anafika hiyo 100 au anazidi; ni Imani yangu kwamba wastani huu mdogo tulionao unapelekea watu wengi wanaoingia katika utumishi wa Umma na nyadhifa nyingine kubwa za kuliongoza hili bara kuwa na IQ ndogo na ushahidi wa hili janga ni kuwa kitamaduni katika bara letu anayefika juu na kupewa nafasi sio kwamba ni Bora au "ana kitu kichwani" bali ana mjua nani na ana nini;

Hivyo sitashangaa Sana kama uhalisia ni kuwa Waafrika wengi wenye IQ kubwa wanaozea kwenye nafasi ambazo ni za kawaida kabisa na wale wenye nafasi ya kung'aa sana huchukuliwa na nchi zinazothamini IQ zao (brain drain)
Watu kama mchengerwa a.k.a kifua kipana na mama Abdul ndo wako front. Hapa maendeleo mtayasikia ulaya na china tu
 
uthibitisho umetokea wiki iliyopita tuu nchi jengo limedondoka k/koo jeshi halina facilities za uwokozi watu wamepotez maisha na wengine kupata hasala alaf inatoka million 700 kwa kuwapongez wachezaj wamefuz 🙄
 
Katika chimba-chimba yangu ya kulielewa hili bara na kwanini tupo hivi (ukiondoa lawama za "mkoloni" ambazo hazina mashiko kwa Karne hii) nimekuja kugundua ikija katika masuala ya IQ ya umma wetu aisee inahitaji nguvu ya ziada kuipandisha

Hadi Sasa nimetambua Kuna classification tatu za binadamu; Kuna Caucasoids (wazungu), Mongoloids (watu wa Asia mf. Wachina wahindi n.k), kisha Negroids (Waafrika); ikija katika utafiti uliofanyika juu ya wastani wa IQ katika umma hizi tatu kilichoonekana ni kama ifuatavyo:

  1. Mongoloids (Wastani wa IQ ni 110 - 120)
  2. Caucasoids (Wastani wa IQ ni 100)
  3. Negroids (Wastani wa IQ ni 85)
IKUMBUKWE hapa kinachoongelewa ni WASTANI hivyo sio Kila Mwafrika ana IQ ya 85 na sio Kila Mchina na Mzungu anafika hiyo 100 au anazidi; ni Imani yangu kwamba wastani huu mdogo tulionao unapelekea watu wengi wanaoingia katika utumishi wa Umma na nyadhifa nyingine kubwa za kuliongoza hili bara kuwa na IQ ndogo na ushahidi wa hili janga ni kuwa kitamaduni katika bara letu anayefika juu na kupewa nafasi sio kwamba ni Bora au "ana kitu kichwani" bali ana mjua nani na ana nini;

Hivyo sitashangaa Sana kama uhalisia ni kuwa Waafrika wengi wenye IQ kubwa wanaozea kwenye nafasi ambazo ni za kawaida kabisa na wale wenye nafasi ya kung'aa sana huchukuliwa na nchi zinazothamini IQ zao (brain drain)
Kabla sijasoma comment najua wenye IQ ndogo watakupinga Sana ngoja tuone
 
Katika chimba-chimba yangu ya kulielewa hili bara na kwanini tupo hivi (ukiondoa lawama za "mkoloni" ambazo hazina mashiko kwa Karne hii) nimekuja kugundua ikija katika masuala ya IQ ya umma wetu aisee inahitaji nguvu ya ziada kuipandisha

Hadi Sasa nimetambua Kuna classification tatu za binadamu; Kuna Caucasoids (wazungu), Mongoloids (watu wa Asia mf. Wachina wahindi n.k), kisha Negroids (Waafrika); ikija katika utafiti uliofanyika juu ya wastani wa IQ katika umma hizi tatu kilichoonekana ni kama ifuatavyo:

  1. Mongoloids (Wastani wa IQ ni 110 - 120)
  2. Caucasoids (Wastani wa IQ ni 100)
  3. Negroids (Wastani wa IQ ni 85)
IKUMBUKWE hapa kinachoongelewa ni WASTANI hivyo sio Kila Mwafrika ana IQ ya 85 na sio Kila Mchina na Mzungu anafika hiyo 100 au anazidi; ni Imani yangu kwamba wastani huu mdogo tulionao unapelekea watu wengi wanaoingia katika utumishi wa Umma na nyadhifa nyingine kubwa za kuliongoza hili bara kuwa na IQ ndogo na ushahidi wa hili janga ni kuwa kitamaduni katika bara letu anayefika juu na kupewa nafasi sio kwamba ni Bora au "ana kitu kichwani" bali ana mjua nani na ana nini;

Hivyo sitashangaa Sana kama uhalisia ni kuwa Waafrika wengi wenye IQ kubwa wanaozea kwenye nafasi ambazo ni za kawaida kabisa na wale wenye nafasi ya kung'aa sana huchukuliwa na nchi zinazothamini IQ zao (brain drain)
Kuna mtaalamu mmoja wa sayansi jamii,alisema, maumivu bado hayajawa makali Sana, yaliyopo yanavumirika, siku yqkifika pomoni, tutaingia barabarani wenyewe,sasa hv tupo kwenye Stockholm Syndrome, (bado tuna mapenzi na watesi wetu),
 
Tufanyeje sasa Ili kukuza IQ zetu ?
Tuwekeze kwa watoto tunaozaa kwa kuwapatia virutushi sahihi na hili madaktari wetu watahusika kutushauri japo hata wao IQ zao ni za chini ndio maana hawatoi ushauri wowote kwa wajawazito na wanaolea kazi Yao kupima uzito Tu basi badala ya kutoa ushauri watoto wale wanatakiwa wapate nini kutoka kwenye diet zao yaaani shida Tu! wenye IQ ndogo utaona wanavonifokea hapa
 
Write your reply...tusipende kujishusha nakujidharau wenyewe etiwaafrica hawana akili. Ila tatizo hawapendi kuumiza kichwa ili apate maarifa. Ndiyo maana wavivu wa kiafrica ndiyo wanao juwa mbinu au nyenzo wakati walio baki wanajidai wasomi. Chunguza hilo.
 
uthibitisho umetokea wiki iliyopita tuu nchi jengo limedondoka k/koo jeshi halina facilities za uwokozi watu wamepotez maisha na wengine kupata hasala alaf inatoka million 700 kwa kuwapongez wachezaj wamefuz 🙄
Kaaaazi kweli kweli
 
Lawama zote kwa ugali, huu msosi unaharibu IQ zetu 😔
Eti sababu ni ugali,wahazabe wanaoujua ugali wao ni Wanakula nyama na matunda je, wana IQ kubwa? 🤣🤣🤣Wewe tumia akili ata kidogo kuchanganua mambo race ya mtu mweusi duniani kote haitofautiani,hata Hawa maniga wa USA walioenda huko miaka zaidi ya 500 iliyopita Bado hawana tofauti na watanzania hapo unasemaje eti ugali ni sababu hii Naona Haina mashiko ukiwaza logically.Race ya mtu mweusi Ina laana ya asili na suala la IQ ndogo ni ushahidi mmojawapo, ukweli usemwe tu.
 
Wenzetu wanakitumia kama chakula cha wanyama, ni muda wa ku revisit nutrutional things tunazokula tokea utotoni na ku make changes
Maniga mbona hawana hizo IQ na akili zao zinatofauti sana na wazungu japo wamekaa nao muda mrefu na hawaujui ugali acheni fikiria za kitoto
 
Maniga mbona hawana hizo IQ na akili zao zinatofauti sana na wazungu japo wamekaa nao muda mrefu na hawaujui ugali acheni fikiria za kitoto
No no if not misosi, kuna kitu geneticaly hakiko sawa, until mtu mweusi atakapo changanya damu na mtu mweupe
Low IQ kwa jamii ya mtu mweusi ni genetics issue
 
Back
Top Bottom