Nimeanza kumpenda msichana mwingine

Nimeanza kumpenda msichana mwingine

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Kuna binti nimeanza kumpenda najitahidi nisimpende tatizo hisia zishalalanae mbele, kwa yule wa kwanza tulieachana alinichezesha muvi la kihindi huyu sasa sijui itakuwaje.

Sina mengi ila tuombeane tu mambo yaende safi maana mpaka hivi sasa naona nina degree ya kuumizwa moyo wangu nao unazidi kupenda kama jana na zaidi ya leo.😥

Sifa zake ni:
  • Kapole ila kazururaji
  • Hakanywi bia ila kanaonja
  • Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.
Tuombeane tu tuvuke salama.😥

images

 
Hii kauli aliipenda mwendazake, au umefufuka
🙄
NOTE:Kama kwake dera ni kanzu,achana nae huyo utamsumbua mbele ya safari..
😲
We jamaa unaonaga sifa kuanzisha nyuzi za kiduanzi kama manzi yani dah.
Mkuu Kuna jukwaa la jamii intelligence na stories of changes mada serious zipo kule.
Pumzisha huo moyo ,utakuja kufa.
Nyau wewe[emoji41]
Moyo wangu ni propera hauna mapumziko aisee..😅
 
Mtoto wa kiume unalilia penzi wakati wachuchu wapo wengi...

Mchuchu akizingua unamshusha cheo, unatafuta mchuchu mwingine unampandisha cheo toka just a friend to a girlfriend...
Mkuu wavaa Madera wanajua kufinyia kwa ndani kitu inaminywaminywa! Aisee kwenda motoni ni kugusa tu!
Pambana boy ila madem wa wavaa vijora na madera huwa wambea.kila kitu mkifnya jua atatasema tuu..na ukimwambia hii ni iwe siri yetu ndio km vile unamzimua aweke laudispika
Dah! Sasa mwanivunja moyo namuachaje haraka tu!
 
Sifa zake ni
Kapole ila kazururaji
Hakanywi bia ila kanaonja
Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.
Mguuni hana kikuku? Vip anapendelea kuvaa tuviatu vya manyoya? Sijui nilikuwa nataka kusemaje tu. Jokes

Kama umempenda kwel mwambie kadri unavyozid kuficha hisia ndivyo kadri unavyozid kuzichochea zaid kumpenda. kuhusu mavaz ni swala la kawaida sana dela limekuwa vaz rahis kwa mabint weng nowadays, kuzurula malizana nae kwanza akikukubalia ombi lako njoo nikupe mbinu za kumfanya apunguze kuzurura
 
Mguuni hana kikuku? Vip anapendelea kuvaa tuviatu vya manyoya? Sijui nilikuwa nataka kusemaje tu. Jokes

Kama umempenda kwel mwambie kadri unavyozid kuficha hisia ndivyo kadri unavyozid kuzichochea zaid kumpenda. kuhusu mavaz ni swala la kawaida sana dela limekuwa vaz rahis kwa mabint weng nowadays, kuzurula malizana nae kwanza akikukubalia ombi lako njoo nikupe mbinu za kumfanya apunguze kuzurura
Mh! Watu mnauzoefu si haba..🤣

Sawa mkuu nitajitahidi hili gurudumu nutahakikisha linaenda uzuri mizimu si ipo! Ni Jambo la kuishirikisha tu..
 
Back
Top Bottom