Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiamini tuu umenasaHuu ni mtego.
Hajaonekana muda mrefuAmetingwa na utafutaji.....akiwa free tutamuona tu humu
Huko huko, kwani wao wanasemajeHaya maisha usipowekeza kwa mchepuko, utawekeza wapi zaidi
Mbona ID nyingi, tatizo nini?Shem niwe mkweli, wewe story zako za chai bhana 😹😹
Tatizo chai inaunguza mpk nimepewa ban 😹😹Mbona ID nyingi, tatizo nini?
Michepuko inasaidia sana, nimeanza kung'aa hatariAje shosti yangu kabla chai haijapoa 😹
Endeleeni kuishi maisha magumu kwa kuogopa kuwekeza kwa michepukoCancer haihambykizii we kufa nayo mwenyewe ndugu....
Kwa nini mkuu?typical cancer
Kama ni mtego, biashara atatumia kuwalisha watoto wake nitakao zaa naye. Maisha ni hapa hapa duniani, mbinguni ni hukumu.Ukiamini tuu umenasa
Tusubiri mrejeshoHuko huko, kwani wao wanasemaje
Now are;3 people a here. Nahisi wote ni wawekezaji kwa michepuko.
Anajua wajibu wakeumesema ukiwa na hamu ukimwambia tu ana acha kazi zake anakuja si ndiyo
Nipo nyumbani..Uko wapi.....
Kuna umuhimu sana,ila tahadhari pia ni muhimu; binadamu wote hawafananiKama uwezo unaruhusu,naunga mkono hoja