Pale mzumbe nao wazushi eti nafasi moja watu wameitwa 8 is it fair mkubwa
Muda mwingine tunaitaji maombi kwa kweli sasa we ulitaka aitwe mmoja kisa nafasi ipo moja c'mon interview sio kupeleka cv ni kuielezea cv yako!!Mashamba yapo mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale mzumbe nao wazushi eti nafasi moja watu wameitwa 8 is it fair mkubwa
Wakumwa mimi nilifanya interview pale mucbs( ushirika) nilikuwa peke yangu kwenye field yangu lakin cha kushangaza walitwa watu wengine, na interview ilikuwa simple ile mbaya, halafu jamaa hawajui vitu yaaani wako shaloinle mbaya mmoja wao akaniliuza what is vpc bninamwambia pardon akaridia i say what is vpc mimi nikamwambia doyou mean cvp analysis or vcp, baada ya hapo mama mmoja akasema mtahiniwa uka sawa ni cvp. Nilivyojua hivyo nikawapiga lecture ya kufa mtu, na hata wajumbe wote wakawa wanatabasamu na kurahi lakin dingi mmoja nafikiri tayari alikuwa na mtu wake. Kwani alikuwa kanuna ile mbaya n acha ajabu tulipanga hotel moje pale moshi view
Pale mzumbe nao wazushi eti nafasi moja watu wameitwa 8 is it fair mkubwa
Wakumwa mimi nilifanya interview pale mucbs( ushirika) nilikuwa peke yangu kwenye field yangu lakin cha kushangaza walitwa watu wengine, na interview ilikuwa simple ile mbaya, halafu jamaa hawajui vitu yaaani wako shaloinle mbaya mmoja wao akaniliuza what is vpc bninamwambia pardon akaridia i say what is vpc mimi nikamwambia doyou mean cvp analysis or vcp, baada ya hapo mama mmoja akasema mtahiniwa uka sawa ni cvp. Nilivyojua hivyo nikawapiga lecture ya kufa mtu, na hata wajumbe wote wakawa wanatabasamu na kurahi lakin dingi mmoja nafikiri tayari alikuwa na mtu wake. Kwani alikuwa kanuna ile mbaya n acha ajabu tulipanga hotel moje pale moshi view
mimi ndio hata sijawahi kuitwa kwenye interview huko tume ya ajira.. siku nikiitwa nitazimia kabisa
Wakumwa mimi nilifanya interview pale mucbs( ushirika) nilikuwa peke yangu kwenye field yangu lakin cha kushangaza walitwa watu wengine, na interview ilikuwa simple ile mbaya, halafu jamaa hawajui vitu yaaani wako shaloinle mbaya mmoja wao akaniliuza what is vpc bninamwambia pardon akaridia i say what is vpc mimi nikamwambia doyou mean cvp analysis or vcp, baada ya hapo mama mmoja akasema mtahiniwa uka sawa ni cvp. Nilivyojua hivyo nikawapiga lecture ya kufa mtu, na hata wajumbe wote wakawa wanatabasamu na kurahi lakin dingi mmoja nafikiri tayari alikuwa na mtu wake. Kwani alikuwa kanuna ile mbaya n acha ajabu tulipanga hotel moje pale moshi view