Nimeanza Ommy Dimpoz, wengine mnafuata

Unataka tu sifa,mbona bado ipo?
 
Lakini hii iwe fundisho pia kwa Diamond na mama yake..

Kuna umri kama mzazi ukifika inabidi ukae nyumbani utulie au utulie katika shughuli zako.. Kila kitu kinafanywa kulingana na umri..

Ukishindwa kujua nini ufanye katika umri ulionao watu watakudharau tu!

Mtoto kuwa maarufu sio lazima na wewe kila mtu akujue!
 
We ni mpuuzi hiyo picha ukiireport inatoka kwa account yako tu lakini wengine tunaiona kama huamini chungulia kwa account nyingine uone

Leo tz nzima inamtia hatiani Dimpoz lakini mondi ndio mchokozi na ndie aliyeyataka yote haya cz ana mambo ya kiswahili sana ya chokochoko




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dimpoz kauaibisha Uislamu. Huwezi post Umevaa Kanzu kisha unaattach caption hizo.
 
Dawa ya moto ni moto. Vumilieni maumivu kidogo
 
Huwa sion mantiki ya kuwaita wasanii ni ma-public figure.... kwa uchafu wanaoufanya huwa hawastahili kuitwa "public figures" hawana lolote.... mnakosea saana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kweli anamtia, tutajuaje, maana yule mother hajiheshimu nae

Slippy Gerald, you served football.
Hili linatrend trend kwakweli,japo ni mambo ya wawili wanapokutana fatagha

May Allah bless Me and You
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…