Unataka tu sifa,mbona bado ipo?Muda sio mrefu Ommy Dimpoz, alimjibu Diamond baada ya Diamond kuimba verse nyingine ya pili.
Ommy alipost picha aliyopiga na Mama yake mzazi wa Diamond akichukua uhusika wa baba yake Diamond, yaani yeye ni mume wa mama Diamond.
Niliposoma sikupendezwa na caption alizotumia kumjibu Diamond akiwa anamdharilisha na Mama yake mzazi pia.
Nawashukuru instagram kwa kuwa responsive baada ya mimi kui-report hiyo post ya Dimpoz na kuifuta mara moja.
Nilii-report kuwa : It's inappropiate
Sababu : Harassment or bullying
Muhusika : Celebrity or Public figure
Napenda hii iwe ni operation endelevu kuanzia sasa pale unapoona watu wakivuka mipaka ya kujitambua, hususani hawa wanaoshindwa kuheshimu hata mama zao wazazi. Report tu! Siku hizi hii mitandao ipo very serious kwenye suala zima la kutokomeza ujinga.
Mabifu yenu muyamalize nyie kwa nyie. Mama zenu msiwahusishe kwenye ujinga wenu.
Huwa sion mantiki ya kuwaita wasanii ni ma-public figure.... kwa uchafu wanaoufanya huwa hawastahili kuitwa "public figures" hawana lolote.... mnakosea saana!Muda sio mrefu Ommy Dimpoz, alimjibu Diamond baada ya Diamond kuimba verse nyingine ya pili.
Ommy alipost picha aliyopiga na Mama yake mzazi wa Diamond akichukua uhusika wa baba yake Diamond, yaani yeye ni mume wa mama Diamond.
Niliposoma sikupendezwa na caption alizotumia kumjibu Diamond akiwa anamdharilisha na Mama yake mzazi pia.
Nawashukuru instagram kwa kuwa responsive baada ya mimi kui-report hiyo post ya Dimpoz na kuifuta mara moja.
Nilii-report kuwa : It's inappropiate
Sababu : Harassment or bullying
Muhusika : Celebrity or Public figure
Napenda hii iwe ni operation endelevu kuanzia sasa pale unapoona watu wakivuka mipaka ya kujitambua, hususani hawa wanaoshindwa kuheshimu hata mama zao wazazi. Report tu! Siku hizi hii mitandao ipo very serious kwenye suala zima la kutokomeza ujinga.
Mabifu yenu muyamalize nyie kwa nyie. Mama zenu msiwahusishe kwenye ujinga wenu.
Hili linatrend trend kwakweli,japo ni mambo ya wawili wanapokutana fataghaLabda kweli anamtia, tutajuaje, maana yule mother hajiheshimu nae
Slippy Gerald, you served football.
Kwani kuvaa kanzu ndiyo uislam?Dimpoz kauaibisha Uislamu. Huwezi post Umevaa Kanzu kisha unaattach caption hizo.
Hawa watu wanaoabudu nguo siwaelewagi kabisa.Kwani kuvaa kanzu ndiyo uislam?
Nimependa hiyo sentence yako ya mwisho....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa watu wanaoabudu nguo siwaelewagi kabisa.
brain is the beautiful part of the body.