kinyangesi
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 247
- 86
Hebu Nenda JF doctor kuna thread kama hiuzi kibao utapata mawaidha kule!Mie ni mvulana wa miaka 26, nilipo balehe tu{ nakumbuka nlikuwa na miaka 15} nilianza ka mchezo ka punyeto! Nlpochaguliwa bwen ckuwa na naruka fens kwenda kutafuta vibinti. Nilkuwa nafanya vizur sana hivyo na nidhamu ile nilfika chuo kikuu. Chuon bado nliwaogopa wasichana hata 'kunjunja' ilikuwa mara chache hasa wale mabint wapweke. Nimemalza chuo na sasa najiendeleza kimasomo ili kuongeza ujuz lkn kale kamchezo nimeshndwa kukaacha! Je nitakuwa nimeathirika? Nifanye nini niache? Msaada tafadhal
dah hizi thread zinaboa hadi basi sasa
kila wiki lazima aje mtu na ishu hiii hii
Mkuu ukiona hivyo ujue hili Janga la Taifa..
dah hizi thread zinaboa hadi basi sasa
kila wiki lazima aje mtu na ishu hiii hii
umeona eeh kazi si kidogo hiihii inatisha sasa
Kama haionyeshi dalili ya kukatika ama kunyauka bado haujaathirika. Endeleza kiduchu.
Hivi eehKama haionyeshi dalili ya kukatika ama kunyauka bado haujaathirika. Endeleza kiduchu.
niendelee? Mimi sitak tena. Nimechok izo mambo.
Hivi eeh
Mkuu ukiona hivyo ujue hili Janga la Taifa..
hahaha sasa kama mingine ukichuna ndai tu inakauka sio mpaka nje lolUnajua jinsi ya kukausha mti? Unauchuna magamba kuzunguka shina kwa mwanzo palee. Sasa naniliu kama bado hajaichuna base vizuri utasemaje kaathirika?
Mie ni mvulana wa miaka 26, nilipo balehe tu{ nakumbuka nlikuwa na miaka 15} nilianza ka mchezo ka punyeto! Nlpochaguliwa bwen ckuwa na naruka fens kwenda kutafuta vibinti. Nilkuwa nafanya vizur sana hivyo na nidhamu ile nilfika chuo kikuu. Chuon bado nliwaogopa wasichana hata 'kunjunja' ilikuwa mara chache hasa wale mabint wapweke. Nimemalza chuo na sasa najiendeleza kimasomo ili kuongeza ujuz lkn kale kamchezo nimeshndwa kukaacha! Je nitakuwa nimeathirika? Nifanye nini niache? Msaada tafadhal
hahaha sasa kama mingine ukichuna ndai tu inakauka sio mpaka nje lol
pole sana,sidhani kama utaacha hata ukioa,ishi kwa matumaini tuMie ni mvulana wa miaka 26, nilipo balehe tu{ nakumbuka nlikuwa na miaka 15} nilianza ka mchezo ka punyeto! Nlpochaguliwa bwen ckuwa na naruka fens kwenda kutafuta vibinti. Nilkuwa nafanya vizur sana hivyo na nidhamu ile nilfika chuo kikuu. Chuon bado nliwaogopa wasichana hata 'kunjunja' ilikuwa mara chache hasa wale mabint wapweke. Nimemalza chuo na sasa najiendeleza kimasomo ili kuongeza ujuz lkn kale kamchezo nimeshndwa kukaacha! Je nitakuwa nimeathirika? Nifanye nini niache? Msaada tafadhal