Valentine Yusuph
Member
- May 5, 2019
- 16
- 15
Nawashukuru kwa mawazo yenu nyote, nimepata maamuzi mazuri ya kuchukua. Nimegundua humu jf kuna watu hawana busara. Mtu akileta wazo unatukana kwanini!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyo ex ikiwezekana na namba futa kabisa, kwako kwa saivi anahitaji faraja tu ukute katendwa huko anataka cha kumsaulisha maumivu akipata mtu mwingine atakutema tena, na baadae akitendwa atarudi yani we kwake ni pumziko.Ni kuhusu mahusiano ninayopitia, labda nianze na stori fupi ya nyuma kidogo, nikipokuwa chuo nilikuwa nikidate msichana ambae alikuwa anasoma sec, alipomaliza akaendelea na masomo ya juu yan advanced education, wakati mimi namaliza chuo 2019 yeye akawa amemaliza adv akaenda chuo 2020. Alikuwa ananipenda mno, sasa akawa chuo mim kitaani, nikawa najitafuta nimsapoti akikwama ajira hakuna ila nilijitahidi. Akiwa sec year binti akanibadilikia vby mno, muda mwing yuko bize, nikimkataza kitu anafanya, mfn sitaki kuona ukienda nightparty then asbh nakuta whatsapp status mtu yuko batani. Baadae nikaja kujua anadate na mwanachuo mwenzake, nilijaji akanambia ndo hivyo kweli na mimi sio levo yake, levo yake ni hao wanachuo wenzake mi nimekua sana 😇, ikabidi tuachane💔. Iliniuma sana maana niliwekeza kwake upendo mwingi, baada ya hapo ikanibidi nitulie tu, baadae nikaanza kudate na mwanamke mwingine but sikuwa na future naye coz bado nilikuwa na bado cjapona . Kibishi nikawa nadeti nae baadae nikawa naanza kumpenda kdgkdg, mwaka 2023 mwezi wa 6 akanijuliaha kuwa ana mimba yangu japo ckudhamiria hivyo, mwaka huohuo ex wangu akamaliza masomo yake akapata degree akaja mtaani akanitafuta akaniambia bado ananipenda na mimi ndo chaguo lake, mimi nilimwambia kuwa nina mtu ana mimba yangu, akasema sawa yeye yupo amejirekebisha sasa. 2024 mpenz akanizalia mtoto wa kiume. SHIDA YANGU NASHINDWA KUFANYA MAAMUZI YAFUATAYO:
1 ,Huyu mpenzi wangu nilienaye ameenda chuo udom pia mwaka wa pili, mi nataka kuishi na mwanamke ndani umri umeenda. Naogopa kumsubir anisaliti pia.
2. Ex anataka kurudi anaomba msamaha na yupo tayar anytime, kumbuka bado ananitetemesha japo nikikumbuka ya nyuma bado naumiaga.
3.Natamani kutafuta mwanamke mtaani huku kama vijana wenzangu wanavofanya niishi nae, tuanze upya.
NB: NATOKEA MWANZA, PROFESSION YANGU NI MWALIMU, UMRI 30YRS. samahani kama cjaandika vzr wakuu, kama utanielewa naomba mnishauri nichukue maamuzi gani..
Mwalimu mwenzetu anatuangusha sana🙆♀️🙆♀️Oa watatu..... Baby mama, ex na mwingine mpya, hadi raha.....
Tupate mawifi watatu jameni..... Akirudi job mmoja anampokea viboko, mwingine anapokea chaki, mwingine majina ya waliokopa visheti.Mwalimu mwenzetu anatuangusha sana🙆♀️🙆♀️
Maisha yanakuwa burudani kabisa🤣Tupate mawifi watatu jameni..... Akirudi job mmoja anampokea viboko, mwingine anapokea chaki, mwingine majina ya waliokopa visheti.