Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Weee kuweza loo?? Yanarun duniaaaaaa!!
Sasa hio profession yake inahusianaje hapoo??🤔🤔🤔
Ticha anazingua ujueeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee kuweza loo?? Yanarun duniaaaaaa!!
😂ulipoharibu ni hapo uliposema wewe ni mwalimu.
Wewe ni mwalimu na bado huyo ex wako akiwa chuo alikuona wewe sio level yake!Wewe a chuo kakuone sio level yaknime
Nazingua wapi?Weee kuweza loo?? Yanarun duniaaaaaa!!
Sasa hio profession yake inahusianaje hapoo??🤔🤔🤔
Ticha anazingua ujueeee
Bora kufqutamrudia ex wako ama bora kufa😂😂
Demu anasomea course tofauti na yangu, pia mim hiyo ni profession, am not employed yetWewe ni mwalimu na bado huyo ex wako akiwa chuo alikuona wewe sio level yake!Wewe ni mwalimu ambaye hukwenda chuo mpaka kasichana ka chuo kakuone sio level yake?
Wewe una profession gani mkuu?Si mmeona WAALIMU walivyo, ndio maana USAHILI wa kada za Ualimu ni LAZIMA ili kubaini sampuli kama hizi.
Uandishi na uwasilishaji wa mada ni changamoto, huyu ndio aandae notes kwa watoto huko shuleni.
hii NimeipendaUmrudie x bro umelogwa au???? Acha kuwa zuzu wa mapenzi mkuu focus na Mwenye Mimba yako na huyo ndio Mungu kakupangia..asante
😂😂😂😂😂Tupate mawifi watatu jameni..... Akirudi job mmoja anampokea viboko, mwingine anapokea chaki, mwingine majina ya waliokopa visheti.
Thanks kwa hoja 👂Achana na huyo ex ikiwezekana na namba futa kabisa, kwako kwa saivi anahitaji faraja tu ukute katendwa huko anataka cha kumsaulisha maumivu akipata mtu mwingine atakutema tena, na baadae akitendwa atarudi yani we kwake ni pumziko.
Kama alivosema wewe sio level zake.
Sawautamrudia ex wako ama bora kufa😂😂
Nyie ndio mnafanya walimu watukanwe, ex bado anakutetemesha na unataka kumrudia(huu ni ufala) atakuendesha mpaka unye.
Baki na huyo mwenye mtoto wako usiogope usaliti sio kila mwanamke ni malaya kama alivyo huyo ex wako. Usioe mwanamke unaempenda sana na anajua kama huyo ex wako, atakutesa sana.
Cc; Mpwayungu VillageNB: NATOKEA MWANZA, PROFESSION YANGU NI MWALIMU, UMRI 30YRS.
Umesema alikuona sio level yake baada ya kwenda chuo,si ndio?Kwa hiyo akisoma course tofauti na yako ndo inajustify ni sawa wewe sio level yake?Alikuona sio level yake kwa elimu au kwa kipato?Sijaelewa hiyo "am not employed yet"inaingiaje hapo kutokana na maelezo yako ya awali...Demu anasomea course tofauti na yangu, pia mim hiyo ni profession, am not employed yet
Nahisi kipato,Umesema alikuona sio level yake baada ya kwenda chuo,si ndio?Kwa hiyo akisoma course tofauti na yako ndo inajustify ni sawa wewe sio level yake?Alikuona sio level yake kwa elimu au kwa kipato?Sijaelewa hiyo "am not employed yet"inaingiaje hapo kutokana na maelezo yako ya awali...
Njoo PM unisaidie namba ya huyo X wako nahisi namfahamu,kuna Binti alikuwa Chuo akaniambia ana Boyfriend ambaye ni Mwalimu lakini hamtakiNahisi kipato,
Mwalimu pia.Wewe una profession gani mkuu?