Nimebaki njia panda Juu ya kufanya maamuzi magumu kwenye mahusiano yangu ya mapenzi

Achana na huyo ex ikiwezekana na namba futa kabisa, kwako kwa saivi anahitaji faraja tu ukute katendwa huko anataka cha kumsaulisha maumivu akipata mtu mwingine atakutema tena, na baadae akitendwa atarudi yani we kwake ni pumziko.


Kama alivosema wewe sio level zake.
 
Nyie ndio mnafanya walimu watukanwe, ex bado anakutetemesha na unataka kumrudia(huu ni ufala) atakuendesha mpaka unye.

Baki na huyo mwenye mtoto wako usiogope usaliti sio kila mwanamke ni malaya kama alivyo huyo ex wako. Usioe mwanamke unaempenda sana na anajua kama huyo ex wako, atakutesa sana.
 
Si mmeona WAALIMU walivyo, ndio maana USAHILI wa kada za Ualimu ni LAZIMA ili kubaini sampuli kama hizi.

Uandishi na uwasilishaji wa mada ni changamoto, huyu ndio aandae notes kwa watoto huko shuleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…