Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
Hongera ya kugongwa nyuma???
wanajamii naomba mnipe hongera,
leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante mwl
Unajua jinsi ya kuwasha kwa kuunganisha waya?
Kama hujui mwalimu wako feki
Mkuu hivi hii inafaa kibongo bongo kuwasha kwa kuunganisha waya minaonaga kwakina jack bauer tuu hahahaaaa
WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante Mwl
Akikujibu ni-tagMwalimu wako mpemba ?
Huu uzi ni wa 2014, mleta uzi embu hitimisha kama umehitimu?
Mm nimenunua gari 2013 kwa mara ya kwanza,WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante Mwl
Mkuu mkongwe humu[emoji848]Mhh! Nashindwa hata kukupongeza nisije nikawa sijaelewa nika....
ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante Mwl