Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
Hongera ya kugongwa nyuma???
hayo kwa mujibu wako si wangu babu ustake slim akatishe ile hadithi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera ya kugongwa nyuma???
wanajamii naomba mnipe hongera,
leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante mwl
Unajua jinsi ya kuwasha kwa kuunganisha waya?
Kama hujui mwalimu wako feki
Mkuu hivi hii inafaa kibongo bongo kuwasha kwa kuunganisha waya minaonaga kwakina jack bauer tuu hahahaaaa
WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante Mwl
Akikujibu ni-tagMwalimu wako mpemba ?
Huu uzi ni wa 2014, mleta uzi embu hitimisha kama umehitimu?
Mm nimenunua gari 2013 kwa mara ya kwanza,WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante Mwl
Mkuu mkongwe humu[emoji848]Mhh! Nashindwa hata kukupongeza nisije nikawa sijaelewa nika....
ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!WanaJAMII naomba mnipe hongera,
Leo nimemaliza mafunzo ya kuendesha gari salama salimini, nimejifunza vitu vingi sana, ikiwemo:
- kuingiza na kubadili gear!
- kukanyaga mafuta!
- kunyoosha sterling kufuata bara bara!
- kukata kona
- kuwasha indicators
- kuwasha full
Mwl wangu kanambia bado vitu vichache tu, ikiwemo kupiga honi na kurudisha gari nyuma, kasema kupiga honi ni issue ya siku 1 tu, ila kurudisha gari nyuma ndio kidogo kazi, natakiwa kuwa makini kwenye kulenga!
Ahsante Mwl