The-unknown JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 1,228 Reaction score 1,447 Jun 11, 2022 #21 Amka amka
Beesmom JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 17,202 Reaction score 28,732 Jun 11, 2022 #22 Sawasawa
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Jun 12, 2022 #24 Hao wadada wana hasara, bei elekezi ya kunyandua hao 15 kwa hiyo 50,000 ilikua shilingi ngapi
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 7,926 Reaction score 17,030 Jun 13, 2022 Thread starter #25 Mtoto halali na hela said: Hao wadada wana hasara, bei elekezi ya kunyandua hao 15 kwa hiyo 50,000 ilikua shilingi ngapi Click to expand... hiyo 50,000 ilikuwa ya kukaa tu kwenye wallet
Mtoto halali na hela said: Hao wadada wana hasara, bei elekezi ya kunyandua hao 15 kwa hiyo 50,000 ilikua shilingi ngapi Click to expand... hiyo 50,000 ilikuwa ya kukaa tu kwenye wallet
monde arabe JF-Expert Member Joined Oct 22, 2017 Posts 8,781 Reaction score 13,444 Jun 13, 2022 #26 mbingunikwetu said: Nashauri umpe Yesu maisha yako uokoke!! Hii dunia na mambo yake inapita kwa kasi na hakuna atakayeingia jehanamu halafu akashukuru kuwa duniani alifaidi sana, bali ni kilio na kusaga meno!! Yesu anakupenda sana na anakuita akuokoe!! Click to expand... Wewe Makonda na CCM wenzako mmeua watu wengi na mkajificha kwenye Dino!
mbingunikwetu said: Nashauri umpe Yesu maisha yako uokoke!! Hii dunia na mambo yake inapita kwa kasi na hakuna atakayeingia jehanamu halafu akashukuru kuwa duniani alifaidi sana, bali ni kilio na kusaga meno!! Yesu anakupenda sana na anakuita akuokoe!! Click to expand... Wewe Makonda na CCM wenzako mmeua watu wengi na mkajificha kwenye Dino!
H ho chi minh JF-Expert Member Joined Sep 27, 2016 Posts 32,904 Reaction score 163,073 Jun 13, 2022 #27 Chao ya rangi na maandazi yake.
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 7,926 Reaction score 17,030 Jun 13, 2022 Thread starter #28 ho chi minh said: Chao ya rangi na maandazi yake. Click to expand... Usiache kwenda shule na kufuatilia masomo ili uweze kujua kusoma na kuandika vizuri
ho chi minh said: Chao ya rangi na maandazi yake. Click to expand... Usiache kwenda shule na kufuatilia masomo ili uweze kujua kusoma na kuandika vizuri
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 7,926 Reaction score 17,030 Sep 24, 2022 Thread starter #29 Hili nalo Mawaziri wakaliangalie