Nimebubujikwa na machozi ya Furaha baada ya kumuona Rais Samia kwa Macho Yangu

Lucas nakushauri kama wewe sio Muislamu, uslimu haraka, Qiyama chaja. Mwanadamu atakuwa mshitaki wake mwenyewe siku hiyo.
 
Ulikuwa nae Matibabuni Cuba kama 'Chawa Gegedu' wake au ni kama kawaida yako tu ya kupenda Kujipendekeza Kwake ukiwa kama 'bootlicker' wake ila asiyekukumbuka kwa Neema yoyote ile?

Hovyoooooooo.......!!
 
Wakati Chadema wanashindwa kurejesha fomu za wagombea wao na kubambikwa kesi nchi ilikuwa chini ya Chama gani?na yeye Samia alikuwa na cheo gani hapa Tanzania?
Kwa mfumo wa nchi yetu makamunwa raisi kazi yake ni kukata utepe tu sio kuzuia maamuzi yanayofanywa na Raisi wake
 
Tulijuaa tu chawa mngeshangiliaa kumuona maana nyie wenyewe mlikuwa hamjui Yu wap ...naonaa ss matumbo yamepungua joto 😅😅😅 mlikuwa mna wasiwasi mambo ya uchwa umefikaa kikomooo..
 
Huyu Mama ni wa kwanza
CCM wa pili
Mungu wa tatu.

Luka 9:60
 
Ulikuwa nae Matibabuni Cuba kama 'Chawa Gegedu' wake au ni kama kawaida yako tu ya kupenda Kujipendekeza Kwake ukiwa kama 'bootlicker'0 wake ila asiyekukumbuka kwa Neema yoyote ile?

Hovyoooooooo.......!!
Hilo hapo punguani
 

Attachments

  • FB_IMG_1608708500589~2.jpg
    40.2 KB · Views: 2
Rais Samia ni Neema na baraka kwa Taifa letu
Sawa lkn mwambie apeleke pesa vyuoni walioko huko wanateseka sana toka mwezi 5 serikali haijapereka pesa kwenye vyuo vya VETA, na vinginevyo na huku wanafunzi wanalipa ada kama kawaida.
 
Mwenendo wako wa kisiasa wa uchawa ndio umekufanya uwe na amani kwa sasa baada ya kudumu kwenye hofu kwa mda ambao hukuwa na connection.

(Unakuwa chawa alafu huna habari za ndani)

Next time ni muhimu kuwa na taulo la kike karibu ili hali ikiharibika usipate changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…