Nimebubujikwa na machozi ya Furaha baada ya kumuona Rais Samia kwa Macho Yangu

Mama amkumbuke huyu jamaa na ka uteuzi, sio kwa shobo hizi. 😁
 
Hadi nimuone anaongea kama Dr Mpango vile!

Picha za kuunga hapana!hasta jpm ilikua hivi hivi baadae maji yakazidi unga!
 
Wajinga kama wewe wanabubujikwa na machozi, jinga kubwa. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Upo sahihi lucas mwashambwa
 
peleka hii kwa Ukoo wenu mbubujikwe wote!
 
Sawa lkn mwambie apeleke pesa vyuoni walioko huko wanateseka sana toka mwezi 5 serikali haijapereka pesa kwenye vyuo vya VETA, na vinginevyo na huku wanafunzi wanalipa ada kama kawaida.
Wewe ndiye msemaji wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…