Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wewe na Mwashwambwa mbona mnabubujikwaga machozi hovyo hovyo namna hiyo? Hata mkiambiwa mama mitano tena hapo hapo mnabubujikwa machozi ya furahaWadau hamjamboni nyote?
Nipo ibadani leo machi mosi hapa Kanisa la Wasabato salasala na nimefurahi mno taarifa ikisema mapato ya zaka yamepaa na kufikia milioni 120 Kwa mwaka 2024 kutoka milioni 87 mwaka 2023
Huku ni kukua kiroho kifedha kongole waamini wote ndani ya siku 7 sijapata huduma Hadi Leo and
Wanajali sikuhizi?Unatumia simu katikati ya ibada?au nazo ni sehemu ya kumsifu Mungu wenu
Sawa sawa sio kwamba zilikuwa zinadiawa kwa mbindeWadau hamjamboni nyote?
Nipo ibadani leo machi mosi hapa Kanisa la Wasabato salasala na nimefurahi mno taarifa ikisema mapato ya zaka yamepaa na kufikia milioni 120 Kwa mwaka 2024 kutoka milioni 87 mwaka 2023
Huku ni kukua kiroho kifedha kongole waamini wote
Kwenye simu una app za nyimbo, biblia, shajara Kwa wakatoliki yaani hata biblia sibebi .....Wanajali sikuhizi?
Mungu hatendi kazi namna hiyo ndugu, hizo unazitoa si sadaka Wala zaka Bali unawasaidia hao wahitaji. Zaka ama sadaka hutolewa kwa mujibu wa biblia. Tubu ndugu yanguKitu ambacho nimeiacha kufanya kabisaaaa ni kupelekwa sadaka sijui zaka kanisani..... Napeleka Moja Kwa Moja Kwa mhitaji.....
SawaKwenye simu una app za nyimbo, biblia, shajara Kwa wakatoliki yaani hata biblia sibebi .....
M 5 TENA KWA MAMA .Wadau hamjamboni nyote?
Nipo ibadani leo machi mosi hapa Kanisa la Wasabato salasala na nimefurahi mno taarifa ikisema mapato ya zaka yamepaa na kufikia milioni 120 Kwa mwaka 2024 kutoka milioni 87 mwaka 2023
Huku ni kukua kiroho kifedha kongole waamini wote
Unabubujikwa machozi ya furaha wewe ni Lucas Mwashambwa?Wadau hamjamboni nyote?
Nipo ibadani leo machi mosi hapa Kanisa la Wasabato salasala na nimefurahi mno taarifa ikisema mapato ya zaka yamepaa na kufikia milioni 120 Kwa mwaka 2024 kutoka milioni 87 mwaka 2023
Huku ni kukua kiroho kifedha kongole waamini wote