Nimechafukwa: Muda sio mrefu naanza kutafuta kazi hotelini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Serikali si mmeona kunipa ajira Ni kipengele nikiingia Uzi wa vyakula natamani mamisosi ya kumwaga na mazagaazaga Ila ndo vile Tena Sina mahela..

Sasa Mimi Ni mjanja siwezi kukwama kula matunda ya nchi Hapa bustanini.mwezi wa nane najichanga naenda zangu Arusha au dar au iringa kutafuta mishe za jikoni.kuanzia leo bundle langu nalimalizia YouTube kujifunza mapishi Kisha nafoji cheti kuonyesha nimepiga course me sio mjinga tutakula tu wote maisha.
 
Safi sana ndege John lazima kieleweke maisha yenyewe mafupi kwa nini uteseke


Mimi nimejiajiri mtaji nguvu zangu, ukatili, na silaha za Jadi,

Japo kuna changamoto ila nakula faida sana
 
Usinisahau mkuu mara tu upatapo ajira ya mapishi.Nakonda bure kwa kutoibugia keki ya taifa vema.Natanguliza shukrani mkuu.😝😝😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…