Ndio nenda Ofisi za nacte hapo ni chapu tuniende ofisi za nacte?
Aende nacteChuo gani umepangiwa na unataka kwenda chuo gani?
Pia form 6 ulipata dvn ngapi
Nimepangiwa taifa kipo arusha course ya physiotherapy ila nataka kwenda mgao njombe kwa course ya dental vyote ni privateChuo gani umepangiwa na unataka kwenda chuo gani?
Pia form 6 ulipata dvn ngapi
Two ya 11Chuo gani umepangiwa na unataka kwenda chuo gani?
Pia form 6 ulipata dvn ngapi
Si chuo unajichaguliwa mwenyewe inakua je wa kuchagulie chuoHabarii....... Nilifanya application kupitia nacte sasa nimechaguliwa chuo nisichokipenda na ada yake Iko juu tofauti na kwenye guidebook
Sasa Nikawa nataka wanifute ili niende chuo kingine affordable. Mara ya kwanza wamenizungusha sana ila sasa hivi baada ya kuwakazia wananiambia niwatumie code niliyotumiwa na nacte ili wanifute na mm sms ya nacte sijapata na mda unaenda nifanyeje au niende ofisi za nacte?
Chuo ulichagua mwenyewe wao wakakukubali unasemaje hukipendi?Nimepangiwa taifa kipo arusha course ya physiotherapy ila nataka kwenda mgao njombe kwa course ya dental vyote ni private
Ada yake ni kubwa tofauti na iliyowekwa kwenye guidebookSi chuo unajichaguliwa mwenyewe inakua je wa kuchagulie chuo
Ni sh ngp kwa mwakaAda yake ni kubwa tofauti na iliyowekwa kwenye guidebook
Hapa Nacte ina kosa gani kila chuo kina hidden cost ambazo haziwekwi bayana, si nyie mnafuata matangazo ya hostel bure, wakati unaolipia indirect......Ada yake ni kubwa tofauti na iliyowekwa kwenye guidebook
Mimi nilijaza course moja kwenye option zote tatu nikaambulia course ya hovyo nikasema bora nikimbizane na dhahabuChuo ulichagua mwenyewe wao wakakukubali unasemaje hukipendi?
Ushauri chukua post #4
3M na nacte waliweka 1.9MNi sh ngp kwa mwaka
Kama huna msaada Bora ukae kimya.......usifananishe Hali Yako ww na za watu wengine hujui tunaishijeHapa Nacte ina kosa gani kila chuo kina hidden cost ambazo haziwekwi bayana, si nyie mnafuata matangazo ya hostel bure, wakati unaolipia indirect......
πππMimi nilijaza course moja kwenye option zote tatu nikaambulia course ya hovyo nikasema bora nikimbizane na dhahabu
Kwani wewe ni wakiume au wakikeHabarii....... Nilifanya application kupitia nacte sasa nimechaguliwa chuo nisichokipenda na ada yake Iko juu tofauti na kwenye guidebook
Sasa Nikawa nataka wanifute ili niende chuo kingine affordable. Mara ya kwanza wamenizungusha sana ila sasa hivi baada ya kuwakazia wananiambia niwatumie code niliyotumiwa na nacte ili wanifute na mm sms ya nacte sijapata na mda unaenda nifanyeje au niende ofisi za nacte?