Nimechaguliwa kozi ya Wildlife Management. Naomba ushauri

Nimechaguliwa kozi ya Wildlife Management. Naomba ushauri

Jiwe kuu01

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2020
Posts
228
Reaction score
86
Habari wana JF hongerini na ujenzi wa Taifa letu pendwa TANZANIA
Wakuu Naomba msaada wa mambo kadhaa juu ya kozi ya usimamizi wa wanyama Pori.

Nimechaguliwa kujiunga na Chuo Cha usimamizi wanyama Pori Mweka katika Kozi ya WILDLIFE MANAGEMENT...

Wakuu kwa unyenyekevu mkubwa Naomba mwenye ujuzi wowote wa hii Kozi anisaidie mawazo juu ya mambo yafuatayo;

Ugumu wa Kozi

Availability ya ajira

Mahara ambapo watu wa wildlife management wanaajiriwa

Vitu vya kufanya ili nifanikiwe kwa uthabiti katika Kozi hii

Pamoja na mambo yote (mbalimbali) juu ya kozi hii ya wildlife management.

Natanguliza shukran za dhati




20201105_084448.jpg
 
Kama ni moja ya uliyoomba basi bila shaka ulitakiwa kuwa na information zake kamili...Samahani kama nitakukwaza kwa jibu hilo lakini ushauri huwa unaombwa kabla.
Shkrn mkuu kwasasa ningependa kujua mambo mbalimbali kuhusiana na Kozi Hiyo Kama nilivyoorodhesha hapo awali Kama vile
Ugumu wa Kozi , Availability ya ajira na mambo mbalimbali yanayohusu Hiyo Kozi
Asante
 
Kwakuwa umeipenda na kuchagua mwenyewe hakutakuwa na ugumu wowote. Suala la ajira unaweza ajiriwa kwenye Hifadhi zetu kama TANAPA na NCAA pamoja na Mapori ya Akiba.
Pia waweza kubaki hapo hapo Mweka kama Mkufunzi wa wale wa Certificate na Diploma.
 
Kwakuwa umeipenda na kuchagua mwenyewe hakutakuwa na ugumu wowote. Suala la ajira unaweza ajiriwa kwenye Hifadhi zetu kama TANAPA na NCAA pamoja na Mapori ya Akiba.
Pia waweza kubaki hapo hapo Mweka kama Mkufunzi wa wale wa Certificate na Diploma.
Shukran Sana Sana mkuu unanifungua macho
Be blessed
 
Ni kozi nzuri kuna rafiki angu nilisoma nae o level yeye hakuenda advnce akasoma certficate yake hiyo now yupo kazini
 
Kozi dogo ajira zake chache sana kuna jamaa nilisoma nao paleSUA mpaka leo wanasota pia ni kozi inahuwanja mdogo wa kujiajiri hukikosa ajira
 
Back
Top Bottom