Nimechaguliwa kozi ya Wildlife Management. Naomba ushauri

Nimechaguliwa kozi ya Wildlife Management. Naomba ushauri

Hivi Tuition fee ni sh ngapi?, ni course nzuri unaweza pata ajira kwenye Mbuga za wanyama nk.
 
hapo hakuna course, nina ndugu yangu alisoma certificate ya iyo mambo, hakupata ajira, akaenda kusoma diploma yake napo hakupata ajira, akaongeza degree yake alimaliza 2017 napo hakupata ajira, akaingia kusoma masters yake mwakani anamaliza masters aingie tena kwenye kusaka ajira (((yeye amepata fulsa ya kusoma kwa kuwa kwao ni watu wanajiweza sana))))
 
hapo hakuna course, nina ndugu yangu alisoma certificate ya iyo mambo, hakupata ajira, akaenda kusoma diploma yake napo hakupata ajira, akaongeza degree yake alimaliza 2017 napo hakupata ajira, akaingia kusoma masters yake mwakani anamaliza masters aingie tena kwenye kusaka ajira (((yeye amepata fulsa ya kusoma kwa kuwa kwao ni watu wanajiweza sana))))
Daaaaah aseeeh
Ila haya mambo ya Ajira mda mwingine huwa Ni Bahati2
Mkuu Sina jinsi maana nimesha confirm ngoja nikapambane kiume kitaeleweka mbeleni[emoji23]
 
We kasome kwanza mambo ya ajira utayajua ukishatoka. Siku hizi wanakosa ajira waliosomea Education na nursing sembuse wildlife...ukimaliza naamini milango itakuwa imeshafunguka ila kuna wahitimu kibao tangu Magu aingie madarakani kutoka vyuo vya Udsm, Sua na Mweka bado wanasugua benchi ila hiyo isikutishe.
 
Habari wana JF hongerini na ujenzi wa Taifa letu pendwa TANZANIA
Wakuu Naomba msaada wa mambo kadhaa juu ya kozi ya usimamizi wa wanyama Pori.

Nimechaguliwa kujiunga na Chuo Cha usimamizi wanyama Pori Mweka katika Kozi ya WILDLIFE MANAGEMENT...

Wakuu kwa unyenyekevu mkubwa Naomba mwenye ujuzi wowote wa hii Kozi anisaidie mawazo juu ya mambo yafuatayo;

Ugumu wa Kozi

Availability ya ajira

Mahara ambapo watu wa wildlife management wanaajiriwa

Vitu vya kufanya ili nifanikiwe kwa uthabiti katika Kozi hii

Pamoja na mambo yote (mbalimbali) juu ya kozi hii ya wildlife management.

Natanguliza shukran za dhati




View attachment 1619872
Nenda kasome asisee uje usaidie kutunza wanyappri wetu.Ajira ipo
 
We kasome kwanza mambo ya ajira utayajua ukishatoka. Siku hizi wanakosa ajira waliosomea Education na nursing sembuse wildlife...ukimaliza naamini milango itakuwa imeshafunguka ila kuna wahitimu kibao tangu Magu aingie madarakani kutoka vyuo vya Udsm, Sua na Mweka bado wanasugua benchi ila hiyo isikutishe.
Kweli mkuu itajulikana mbele kwa mbele
 
kwenye huu uzi wako ulichokuwa unataka ni kutiwa moyo na hamasa pindi utakapoanza masomo sio ushauri. Pia

kipindi unasoma focus kwenye kusoma na kupata alama nzuri hiyo inatosha kuwa Bora na kujijengea uwanja mpana wa soko ajira.


Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
kwenye huu uzi wako ulichokuwa unataka ni kutiwa moyo na hamasa pindi utakapoanza masomo sio ushauri. Pia

kipindi unasoma focus kwenye kusoma na kupata alama nzuri hiyo inatosha kuwa Bora na kujijengea uwanja mpana wa soko ajira.


Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mkuu Asante Sana nitafata USHAURI wako be blessed
 
Back
Top Bottom