Priscalukombeso
Member
- Jul 11, 2021
- 12
- 2
Sorry Ila hata Ardhi wameandika environmental science and management na sio environmental engineeringYa ardhi ni engineering na engineering lazima isomwr miaka minne.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry Ila hata Ardhi wameandika environmental science and management na sio environmental engineeringYa ardhi ni engineering na engineering lazima isomwr miaka minne.
Bsc in Biotechnology and Laboratory ScienceBLS kirefu ni nin..
Walimu mnakuwaga na mawazo ya kiualimu kweli kweli. Yaani uende kusoma BLS Ili uwe Lab Technician wa maabara ya Shule. Hatari kweli kweli.Je alioko kazini ni mwalimu diploma kozi hiii ya BLS unaweza kuwa lab technician kama ukisoma
😆😆😆😆 ss hapo shida nn si anakuwa kaepukana na kushika machaki ye kazi yake n kuchanganya ma sample tuWalimu mnakuwaga na mawazo ya kiualimu kweli kweli. Yaani uende kusoma BLS Ili uwe Lab Technician wa maabara ya Shule. Hatari kweli kweli.
Vipi kuhusu maslahi yake na kukua kwenda level za Dunia ya watu wenye akili??? Yaani asome BLS kwa mawazo ya kuwa Lab Technician serious??? Na wenye Diploma za Tab tech kutoka DIT na MUST then wafanye kazi gani???😆😆😆😆 ss hapo shida nn si anakuwa kaepukana na kushika machaki ye kazi yake n kuchanganya ma sample tu
Boss mi naitaji ushauri mi Toka nimeajiriwa Huwa naandaaga practical Hivyo nikaona ni kozi gani itakayo niwezesha niwe full lab technician ya miaka 3 nikaona hii ya BLS Kwa sababu Niko kwenye ajira naona itanifaa unajua boss wangu Kila kitu huanzia chini .Humu ndani Kuna wadau wanamawazo mazuri ndio maana nimeuliza ili nisaidiwe kama inawezeka wanao jua watanisaidia ila na mawazo Yako ni mazuri asantVipi kuhusu maslahi yake na kukua kwenda level za Dunia ya watu wenye akili??? Yaani asome BLS kwa mawazo ya kuwa Lab Technician serious??? Na wenye Diploma za Tab tech kutoka DIT na MUST then wafanye kazi gani???
SawaHauwezi kuwa school lab technician kwa sababu school lab technician haina muundo wa degree wanao ajiliwa ni wenye diploma tu ya laboratory science
Kwa hiyo nikasome diploma na hiii yaHauwezi kuwa school lab technician kwa sababu school lab technician haina muundo wa degree wanao ajiliwa ni wenye diploma tu ya laboratory science
Wadau naombeni msaada nimekuja kuomba msaada wa mawazo kwani mwanzo yalinikuta kwenye bachelor Moja hivi haikua na ajira nikakimbilia diploma ndipo nilipo maliza nilikaa miaka miwili nikawa nimeajiriwa mwanzo niliamua mwenyewe bila kupata ushauri nikaangukia puaHauwezi kuwa school lab technician kwa sababu school lab technician haina muundo wa degree wanao ajiliwa ni wenye diploma tu ya laboratory science