Inategemea unaangaia program gani kwenye internet. Kwa mfano kama unapenda kuangalia pornographic pics utakuwa addicted. Kila siku utataka kuangalia na utapoteza muda mwingi sana ukifurahia kuangalia. Hii addiction inasababishwa na kuwa possessed na kitu supernatural kisichoelezeka. Hii ndiyo kiroho wanasema umekumbwa na pepo la ngono. Huu ni mfano tu. Kama unaangalia Emmanuel TV kuna testimonies watu wanatoa kuwa walipata matatizo kwa sababu kamkubali rafiki kwenye mtandao ambaye hamjui. Alipoomba picha yake alimtumia picha ya ajabu sana alipomuuliza mbona umenitumia hii picha huyo rafiki akacheka sana. Akmwambia leo umeniona. Baada ya hapo ikawa mwanzao wa shida katika familia. Ziliisha baada ya deliverance.Salaaam.....
Wakuu katika pita pita zangu katika kwa wataalamu was dini nimekutana na hili..
Eti kwa kuya mtumiaji was muda mrefu wa internet kwa siku kuna pelekea mtumiaji kupata au kukumbwa na Mapepo, MAJIN MAHABA, KUSAJILIWA KUZIMU, NA KUCHANGANYIKIWA KIAKILI?????
Nime kuja kwenu ili niweze pata uhakika na ukweli kuhusu hili
Maaaana limeniogopesha Sana'a
Shukrani....
Kwa hiyo mapepo n zaid ya hot sport na WiFi?? Huingiaa kwa MTU kwa Ku charts nae tuInategemea unaangaia program gani kwenye internet. Kwa mfano kama unapenda kuangalia pornographic pics utakuwa addicted. Kila siku utataka kuangalia na utapoteza muda mwingi sana ukifurahia kuangalia. Hii addiction inasababishwa na kuwa possessed na kitu supernatural kisichoelezeka. Hii ndiyo kiroho wanasema umekumbwa na pepo la ngono. Huu ni mfano tu. Kama unaangalia Emmanuel TV kuna testimonies watu wanatoa kuwa walipata matatizo kwa sababu kamkubali rafiki kwenye mtandao ambaye hamjui. Alipoomba picha yake alimtumia picha ya ajabu sana alipomuuliza mbona umenitumia hii picha huyo rafiki akacheka sana. Akmwambia leo umeniona. Baada ya hapo ikawa mwanzao wa shida katika familia. Ziliisha baada ya deliverance.
sidhani kama kuna ukweli wowote kuhusu hayo majini sijui labda uniambie hayo matumizi yanaweza kukuharibu kisaikolojiaAhsante but msaaada wako please
Usichat na mtu usiyemjua. Kwanza unachat naye wa nini wakati humjui? Pia usikubali rafiki usiyemjua. Internet sasa hivi imevamiwa sana. Kama unasoma taarifa za ulaya kuna wadada wengi wamekufa kwa sababu ya kupata wenzi kwenye mtandao. Hao wenzi wameishia kuwaua. Chat na mtu unayemjua period.Kwa hiyo mapepo n zaid ya hot sport na WiFi?? Huingiaa kwa MTU kwa Ku charts nae tu
Kama kweli vileeeUsichat na mtu usiyemjua. Kwanza unachat naye wa nini wakati humjui? Pia usikubali rafiki usiyemjua. Internet sasa hivi imevamiwa sana. Kama unasoma taarifa za ulaya kuna wadada wengi wamekufa kwa sababu ya kupata wenzi kwenye mtandao. Hao wenzi wameishia kuwaua. Chat na mtu unayemjua period.
AhsanteUsichat na mtu usiyemjua. Kwanza unachat naye wa nini wakati humjui? Pia usikubali rafiki usiyemjua. Internet sasa hivi imevamiwa sana. Kama unasoma taarifa za ulaya kuna wadada wengi wamekufa kwa sababu ya kupata wenzi kwenye mtandao. Hao wenzi wameishia kuwaua. Chat na mtu unayemjua period.
Mhhhh me nahisi nitakuwa nayo mengi sana kama ni ivyoSalaaam.....
Wakuu katika pita pita zangu katika kwa wataalamu was dini nimekutana na hili..
Eti kwa kuya mtumiaji was muda mrefu wa internet kwa siku kuna pelekea mtumiaji kupata au kukumbwa na Mapepo, MAJIN MAHABA, KUSAJILIWA KUZIMU, NA KUCHANGANYIKIWA KIAKILI?????
Nime kuja kwenu ili niweze pata uhakika na ukweli kuhusu hili
Maaaana limeniogopesha Sana'a
Shukrani....
Jamiiforum humu tunachat mambo ya kitaifa na kijamii ya kitanzania. Sidhani kama kuna mtu anaendelea na mahusiano zaidi ya kuchat humu tu jamvini. Humu tunapashana habari ndiyo tafauti. Hapa ni salama sana.Ahsante
Vp kuhusu watu was jamii forum???
Mkuu ni kweli nimesoma fungua hii link. 12 Harrowing Online-Dating Encounters That Ended In MurderKama kweli vileee
Lakn s kuna jamvi LA mapenz ushaur na mahusiano???Jamiiforum humu tunachat mambo ya kitaifa na kijamii ya kitanzania. Sidhani kama kuna mtu anaendelea na mahusiano zaidi ya kuchat humu tu jamvini. Humu tunapashana habari ndiyo tafauti. Hapa ni salama sana.