Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
Dah...aya mambo aya yamejaa kutishana tu na ndo mana kuna siku nilimfuata demu fb inbox baada ya kujibu salamu yangu ananiambia shindwa katika jina la ....duh...nikaona eenhe...nishakuwa pepo