Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Kwa hiyo tangu uanze na hizi fast-track (za wiki 2 mbili) umeshafanikiwa. Ukikutana na mwanaume anayenunua bidhaa bila kutest naye lazima atakuwa na matatizo yake. Ndio baadae mnaanza kutujazia mada za malalamiko hapa,...ooh anamimina tripu moja analala...mara ooh, kumwamsha mpk ukaazime vitu vya siri kwenye video library
Wee mshamba ngoja nikutolee uvivu aliekudanganya wanaofanya ngono ndani ya ndoa hawapati ukimwi ni nani au niushamba wako unakusumbua na unajuaje Latifaa kama kashapima ukimwi au hajapima kama wewe umeathirika unazani kila mtu ni muathirika mwenzio, shuwain!
Wanaopata Ukimwi ndani ya ndoa ni kama huyo mwanamme aliyomtia mimba Latifa, ambao ni wazinifu, na kila anaeshabikia hili na yeye ndio haohao.