Kaka ata mimi ninae wa dizaini hiyo nipo nae mwaka wa tatu najitafunia taratibu na jinsia yake
ya kiume hafanyi kazi ila kunakipindi inastuaka inasimama ila haina nguvu sana kama ya mwanume kamili
du!mkuu haugopi?hiyo ki2 siku ikija kustuka sana inaweza ikakung'ang'ania na wewe!
"Ni hivi karibuni nimefunga ndoa na mwanamke ambaye sijawahi kukutana naye kimwili hapo kabla,
mara nyingi nilipotaka kukutana naye kimwili kabla hatujafunga ndoa alinikatalia na kunipa vipengere
kadhaa vya kidini ambavyo kiukweli vilinifanya nitulie. Baada ya kufunga ndoa ndipo nimekutana na
hili balaa, mke wangu ana sehemu zote mbili yaani ya kike na ile ya kiume, sijui nifanye nini na sasa ni
siku ya saba toka nifunge ndoa, kweli sina raha......."
Ni maelezo ya (X) ambayo amenipa juzi, kweli nimemsikitikia lakini nimeshindwa kumshauri ingawa
ingekuwa upande wangu ningemuacha huyo mwanamke.
"Ni hivi karibuni nimefunga ndoa na mwanamke ambaye sijawahi kukutana naye kimwili hapo kabla,
mara nyingi nilipotaka kukutana naye kimwili kabla hatujafunga ndoa alinikatalia na kunipa vipengere
kadhaa vya kidini ambavyo kiukweli vilinifanya nitulie. Baada ya kufunga ndoa ndipo nimekutana na
hili balaa, mke wangu ana sehemu zote mbili yaani ya kike na ile ya kiume, sijui nifanye nini na sasa ni
siku ya saba toka nifunge ndoa, kweli sina raha......."
Ni maelezo ya (X) ambayo amenipa juzi, kweli nimemsikitikia lakini nimeshindwa kumshauri ingawa
ingekuwa upande wangu ningemuacha huyo mwanamke.
"Ni hivi karibuni nimefunga ndoa na mwanamke ambaye sijawahi kukutana naye kimwili hapo kabla,
mara nyingi nilipotaka kukutana naye kimwili kabla hatujafunga ndoa alinikatalia na kunipa vipengere
kadhaa vya kidini ambavyo kiukweli vilinifanya nitulie. Baada ya kufunga ndoa ndipo nimekutana na
hili balaa, mke wangu ana sehemu zote mbili yaani ya kike na ile ya kiume, sijui nifanye nini na sasa ni
siku ya saba toka nifunge ndoa, kweli sina raha......."
Ni maelezo ya (X) ambayo amenipa juzi, kweli nimemsikitikia lakini nimeshindwa kumshauri ingawa
ingekuwa upande wangu ningemuacha huyo mwanamke.
Hii thread inachochea ngono kabla ya ndoa. Mbona mabinti watakoma!