Nimechanganyikiwa nahitaji msaada

Nimechanganyikiwa nahitaji msaada

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
18,887
Reaction score
7,673
HILI TATIZO NI LANGU MIMI MWENYEWE.
Yapata mwezi mmoja hivi nimekuwa nikiexperience kitu cha ajabu sana mwilini mwangu nacho ni uwezo mdogo wa kufanya ngono.
Lakini cha kushangaza, hili halitokei kila wakati. Kuna wakati naweza kupiga kazi kama kawaida hadi mimi mwenyewe nashangaa. Kuna wakati mashine haisimami kabisa labda hadi niichezeshe kwenye uke wa mwanamke na ikipata nguvu kidogo nikiingiza tu ndo mashine inapata nguvu lakini sio ile inayotakiwa. Hili limetokea zaidi ya mara 10 ndani ya mwezi mmoja. Lakini kuna kipindi napiga kazi hata kama ninaumwa nakuwa very sensitive.

Siku za nyuma ilikuwa hata nikitongoza tu mashine inasimama. Nikitoka kuamka asubuhi pia mashine inakuwa imesimama, sasa hivi hivyo vitu havipo tena. Hata huo ufanisi ninaousema ni hadi mwanamke avue nguo nione maungo yake nimshikeshike ndo kitu kinasimama. Kiukweli kuna wakati naweza kufululiza hata siku 4 nikichapa lakini ndo hivyo wakati mwingi mashine kusimama ni kwa mbinde.

Nilipoenda Hindu Mandal waliniambia nina BP 130/90 na Cholesterol imezidi kwa 0.5 pamoja Triglyeceride zimezidi sana. Daktari akasema itakuwa hiyo Cholesterol na Triglyeceride zinasababisha nguvu ziwe zinakuja na kutoweka.

sasa basi,
1. Kutokana na hali hiyo ni sawa sawa kuamini kuwa nina Upungufu wa nguvu za kiume?
2. Cholesterol na Triglyeceride zinachangia hilo la upungufu wa nguvu hizo?
3. Nifanyeje ili nirudi katika hali ya kawaida?
 
Na nyinyi nanyi kila mukija munakuja na stori za ngono tu. Ndiyo maana hamuna hata muda wa kusoma vitabu ni kufikiria mambo hayo tu.
 
Umri haurudi nyuma katu Mkuu! Na haya machakula yetu ndo kabsaaaa!
 
Dk aliyekupa hayo majibu bila shaka ushauri na tiba amekupa!
Endelea kujiuguza! Chunga usije kuwa punga kuna vijana wanakutamani!!!
 
Nina daw ya kupunguza cholesterol nadhani hiyo ndo itakuw tiba yako....inaitwa omega three....ni natural product...ni pm.
 
haa unazisha kaka mara 10 kwa mwenz.lazma uume uchoke.punguza ngono
 
Mkiambiwa fanyeni mazoezi hamtaki!! Watu kama nyie nadhan zoezi kubwa ni kanyanyua glasi na kijiko tu!! We subiria kuibiwa mke tu
 
zoezi+mboga za majani+maji mengi+ wanga kiasi.....muone dokta.
 
Inaonekana tu kama una taizo ... KIMSINGI HUNA TATIZO ... take that imagination out of your mind kuwa una tatizo ...hali hiyo inayokuaja na kuondoka ..ni ya kawida... Na kumbuka ukweli huu ... Sex iko ili kujifunza kuicha ...less and less is the rule ...till unazeeka hakuna kufanya kabisa...!!!
 
Inaonekana tu kama una taizo ... KIMSINGI HUNA TATIZO ... take that imagination out of your mind kuwa una tatizo ...hali hiyo inayokuaja na kuondoka ..ni ya kawida... Na kumbuka ukweli huu ... Sex iko ili kujifunza kuicha ...less and less is the rule ...till unazeeka hakuna kufanya kabisa...!!!

tatizo
inayokuja
kawaida
kuiacha.
 
Back
Top Bottom